Mkuu, Waziri wa Utumishi anahusikaje hapo?Sasa wote si polisi? Na wote ni product ya CCP 😂😂
Kuna agenda zinasukwa kwa kas sana kuelekea 2025...
Wazir wa Utumish kaa chonjo 😂
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu, Waziri wa Utumishi anahusikaje hapo?Sasa wote si polisi? Na wote ni product ya CCP 😂😂
Kuna agenda zinasukwa kwa kas sana kuelekea 2025...
Wazir wa Utumish kaa chonjo 😂
Inawezekana Na Wao Walikataa Kutoa Faini Wakiamini Watabebana KimamlakaNi aibu sana kuona.jeshi kwa jeshi wanasumbuana kiasi hiki - tena wizara moja.Lkn huu ni ushindi kwa wapenda haki - huu ni mpango wa Mungu - It means hata wenzao wameanza kuona jinsi polisi wanavyozingua na kufanyakazi bila ufanisi.
Zaidi ni visasi na hisia..kwa nini wasiwapige fine kama sheria inavyosema na wakaendelea na safari yao??
Polisi ni kama bomu - ipo siku litalipuka tu...
Mkuu, tatizo ni recruitment ya hao watumishi ambao wengi wao wanaanzia mgambo/bluegaidiPolisi ni viumbe wa ajabu sana
Nadhani wanalaana viumbe hawa
Nawaza sana huko kwenye mafunzo yao kuna madawa yakuwafanya wawe kama mazombi.
Ukimuona Muliro anavyotoa macho utadhani anaongea vitu vya maana kumbe ni comedy tu za policcm.Tumefika pazuri sn
Haha si niliwaambia watu humu kuwa huyu jamaa nidhamu Hana na nkasema kuwa ladhima hatua za kinidhamu zitachuliwa juu yake.Huyu anaitwa A/Insp Bright Mbwilo, kwa maelekezo ya Afande CGP, kishavuliwa Nafasi ya uongozi wa timu leo asubuhi, pia karudishwa kituoni kwake, na hadi jioni hii maktabu imeanza dhidi yake.
Ameongea kihanarakati zaidi kuliko Nafasi yake kama mtendaji ndani ya serikali. Alishindwa kukemea mwendo mbaya wa Dereva wake wa spidi 125 kwa mujibu wa VTS
Alishindwa kumuelekeza Dereva wake kusimama aliposimamishwa na askari wa barabarani Kuanzia huko Kagera.
Huyu hatambui kuwa awapo barabarani yeye ni abiria tu na marehemu mtarajiwa wa ajali za barabarani
Huyu mkaguzi haelewi kuwa jukumu la TRAFIKI ni kudhibiti mwendo wa ovyo na kuzuia ajali. Na ndicho kilichokuwa kinatekelezwa hapoView attachment 3172062
Tatizo la nchi yetu ni double standards. Sheria hio hio inamhukumu raia ila mkuu wa polisi akiivunja panabakia kimya tuRTO hapa kakosea kabisa, 85 km/hr alafu Bus la timu ya Magereza ilikuwa 90km/hr na kawashika, hapa busara haijatumika kabisa, huyo RTO naamini atatumbuliwa siku 1 au 2 zijazo, hao ni askari wenzake hakutakiwa kufanya hivyo.
Yeiikh Mbaane!!Amang'ana Gasarikile
Labda wanafikiri waliwapigia kura Upinzani.Naaaaaam naona kila MTU atafikiwa Tu. Ni suala la Muda Tu. Hapa ni Tanzania Prisons wakiwa wamezuiliwa Iringa kwa kosa la Overspeeding, normal speed ilitakiwa iwe 80km/HR yeye kaendesha kwa 85km/HR. Wakamdaka kuanzia saa tano asubuhi Hadi jioni.
Jamaa wa Prison anapiga mkwara kuwa very soon Polisi "watawaelewa" Tu. Naam kama huna bando la mawazo angalia video hapa.
View attachment 3171523
Hivi polisi hustaafu wakifisha miaka mingapi? Muliro ni babu lakini hastaafu matokeo yake hana jipyaUkimuona Muliro anavyotoa macho utadhani anaongea vitu vya maana kumbe ni comedy tu za policcm.
Inasemekana walikuwa wanasimamishwa post nyingi na hawasimami. Naona iringa waliwawezaNi aibu sana kuona.jeshi kwa jeshi wanasumbuana kiasi hiki - tena wizara moja.Lkn huu ni ushindi kwa wapenda haki - huu ni mpango wa Mungu - It means hata wenzao wameanza kuona jinsi polisi wanavyozingua na kufanyakazi bila ufanisi.
Zaidi ni visasi na hisia..kwa nini wasiwapige fine kama sheria inavyosema na wakaendelea na safari yao??
Polisi ni kama bomu - ipo siku litalipuka tu...
Huyo RTO atakupa ze RPC muda c mrefuHuyo RTO kafanya kazi nzuri juzi tu ilitokea ajali ya wabunge hapa.
Hao magereza wangepata ajali je.?
Tujifunze kufuata sheria maswala la sijui magereza , sijui nani na hufuati sheria iwe mwisho.
Wamevunja Sheria lazima wawajibishwe.RTO hapa kakosea kabisa, 85 km/hr alafu Bus la timu ya Magereza ilikuwa 90km/hr na kawashika, hapa busara haijatumika kabisa, huyo RTO naamini atatumbuliwa siku 1 au 2 zijazo, hao ni askari wenzake hakutakiwa kufanya hivyo.
Draw. Majeruhi sawa pande zote.Kikosi Maalum Cha Kutuliza Ghasia Magerezani (KMKGM) vs (FFU) Fanya Fujo Uone Field Force Unit
Tujue nani mwamba Magereza vs Polisi kupitia vikosi vyao maalum KMKGM vs FFU
Huenda kweli kabisaLabda wanafikiri waliwapigia kura Upinzani.
Unajiita Dr Manesi. Hauko sawa kichwani. Dr wa Dr SSH. Or Dr Chawa.Dr matakataka