Mudawote
JF-Expert Member
- Jul 10, 2013
- 10,771
- 14,129
Mnaposhabikia kibaraka mnachekesha sanaHuoni kwamba wewe ndio unachekesha.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mnaposhabikia kibaraka mnachekesha sanaHuoni kwamba wewe ndio unachekesha.
Hapa ndipo pabaya, yaani unachomolewa wewe kama wewe na kushitakiwa!! duhpersonally accountable
Libya na Iraq mkuu ni tofauti na Tanzania. Hizo nchi ni waislamu na unajua wenzetu na dini yao. Sisi rais anasisitiza umoja, upendo na kuchapa kazi. Lisu na wapinzani wanasisitiza vita, wazungu na kuchukiana.mbona hata Libya na Iraq zilikuwa zinasema hivi hivi zilipokuwa chini ya marais madikteta?
kikubwa ni haki itamalaki miongoni mwetu ili haya masahibu yasitupate.
Umeandika nin?Tatizo lenu mmewekwa kama marobo nyie mataga wa lumumba, idiot!Huu no mtego kwa Chadema maana ndio walioigizackurushiana mawe na kuchoma polisu
Watu wa propaganda lumumba mnakwama wapi?Mnadhani mnawaandikia wajinga humu jf?idiotMnachekesha, sisi ni nchi huru, tunajiamlia mambo yetu. Wazungu wajanja hapo hiyo gharama imeahidiwa kulipwa kwa mikataba minono ya upendeleo atakayo itoa lisu pindi akiwa rais (kitu ambacho hawezi kuwa rais maana watamuua akishindwa urais).
Pimbi mkubwaMuda wote zwazwa
Mnachekesha, sisi ni nchi huru, tunajiamlia mambo yetu. Wazungu wajanja hapo hiyo gharama imeahidiwa kulipwa kwa mikataba minono ya upendeleo atakayo itoa lisu pindi akiwa rais (kitu ambacho hawezi kuwa rais maana watamuua akishindwa urais).
Wapi Lissu amesisitiza vita? Kawadanganye wajinga wenzio.Libya na Iraq mkuu ni tofauti na Tanzania. Hizo nchi ni waislamu na unajua wenzetu na dini yao. Sisi rais anasisitiza umoja, upendo na kuchapa kazi. Lisu na wapinzani wanasisitiza vita, wazungu na kuchukiana.
Kabla ya barua ya Amsterdam, Sirro na Magufuli walikuwa wamemnyima Lissu ulinzi...baada ya pale siku ya pili yake wakampa Ulinzi na akawa habughudhiwi kwenye mikutano yakeHivi karibuni kumekuwa na mfululizo wa barua kutoka kampuni binafsi ya Amsterdam & Partners LLP, walioingia mkataba na mgombea urais wa Chadema Tundu Lissu kumsaidia masuala yake ya kisheria, kiusalama na ulinzi wa haki zake.
Moja ya sehemu ya barua yao waliyoliandikia Jeshi la polisi inasema,
"By this letter, we notify you (Tanzania Police) our intention to hold accountable all public servant of the government of Tanzania individually..... " Robert Amsterdam.
Vile vile waliiandikia Tume ya Taifa ya Uchaguzi NEC kuwa,
“It is our intent to hold the members of the NEC personally accountable”, Robert Amsterdam.
Jana Mkuu wa Jeshi la Polisi IGP Simon Sirro amewataka makamanda wa jeshi hilo kuja na majibu ya nguvu kwa mikoa iliyo anza kufanya vurugu kwenye misafara ya wanasiasa ikiwemo kurusha mawe na wale waliohusika kuchoma ofisi za vyama vya siasa.
"......mtu yeyote wa ovyo ovyo atakaejihusisha na uchomaji wa ofisi au kujihusisha na vurugu tutamshughulikia vizuri" IGP Sirro.
Je, hizi zinaweza kuwa dalili kwa jeshi la polisi kuanza kubadilika au ni kwa sababu ya vitisho vya barua za Robert Amsterdam?
Aisee usiwe unajibizana na hii takataka unajishushia hadhi.Huoni kwamba wewe ndio unachekesha.
Mbona wewe Akili yako ni zero tena wewe ni juha zuzu kabsa, hawana uwezo wa kukupangia mbona kutwa CCM mnaenda kuomba misaada ulaya na shirika la fedha IFM huwapangia mashariti? CCM ikienda kupiga magoti kuomba omba misaada ulaya huwaita wazungu wafadhili wahisani lakini hao hao wazungu wakikataa ujinga wenu wa CCM mnakimbilia kuwaita wanaume wenzenu mabeberu utazani nyinyi CCM ni mbuzi jike.Yaani hao amtardam wanaweza kupangia nchi mambo yao?
Nakushangaa sana hao amstardam wana mahusiano gani na tanzania mpaka watupangie, yaani bavicha akiri zenu ni sifuli tu.
Hao wana mkataba na Lisu na sio mchi ya tanzania. Na hawana uwezo wowote wa kutupangia mabo yetu ila wanaweza kumpangia Lisu kwani ni kibaraka wao.
CCM waache kuwabambikia kesi kuwapiga risasi kuwapora ushindi wapinzaniMtanzania ni mtu wa ajabu na uhovyo mwingi Sana
Mtu akitaka kufanya kazi yake, utasikia ameogopa, akitaka kubinya kidogo, amenunuliwa, anamfanyia mfalme n.k
Sasa tuwaeleweje!!!
Amsterdam & Partners LLP – International Law Firm | London | Washington DCMkuu ebu kuwa serious kidogo basi
Angalau make your sons and daughters be proud kwa sababu yako
Unaamini kabisa kwa akili zako timamu dola na nchi huru inaweza kutikisika kwa barua ya private firm? Wana nini zaidi ya kuandika tu?
Na kabisa ulichoandika hapa maadui wa Liss hawawezi kulibeba hili kisiasa? Kuwa katumwa na wazungu?
Hivi huwa mnafikiria kabla ya ku post au uhalisia ndio kweli kabisa uwezo wa fikra ulipoishia?
You are better than this
Lissu anawahadaa wazungu na hasa umati aliopata katika ziara zake za utalii unampa kichwa, umati kama ule haujaanzia kwaLissu, Mrema alipata sana tu, akaja Lipumba na Ngangali akapata umati wa kutosha na wao walifikia hata kutangaza balaza la mawazi kabla ya kupiga kura, akaja Dr. Slaa naye alipata sana tu, wakamalizia na Lowasa ambaye hadi barabara zilidekiwa na kina mama kutandika khanga barabarani.Libya na Iraq mkuu ni tofauti na Tanzania. Hizo nchi ni waislamu na unajua wenzetu na dini yao. Sisi rais anasisitiza umoja, upendo na kuchapa kazi. Lisu na wapinzani wanasisitiza vita, wazungu na kuchukiana.
IGP ile video yake ya vitisho aliyoitoa juzi imefika The Hague wanaanza vikao vya kumjadili ikiwezekana aunganishwe kwenye kesiKabla ya barua ya Amsterdam, Sirro na Magufuli walikuwa wamemnyima Lissu ulinzi...baada ya pale siku ya pili yake wakampa Ulinzi na akawa habughudhiwi kwenye mikutano yake