Ndukidi
JF-Expert Member
- Jun 30, 2012
- 1,499
- 1,297
Mnachekesha, sisi ni nchi huru, tunajiamlia mambo yetu. Wazungu wajanja hapo hiyo gharama imeahidiwa kulipwa kwa mikataba minono ya upendeleo atakayo itoa lisu pindi akiwa rais (kitu ambacho hawezi kuwa rais maana watamuua akishindwa urais).
Endeleza ujinga wa nchi huru kwenye haki za raia.