Omulasil
JF-Expert Member
- May 5, 2015
- 8,015
- 10,269
Nimekuwa nikijiuliza kuwa hivi hiki kizazi ndio cha kupeleka nchi mbeleMkuu ebu kuwa serious kidogo basi
Angalau make your sons and daughters be proud kwa sababu yako
Unaamini kabisa kwa akili zako timamu dola na nchi huru inaweza kutikisika kwa barua ya private firm? Wana nini zaidi ya kuandika tu?
Na kabisa ulichoandika hapa maadui wa Liss hawawezi kulibeba hili kisiasa? Kuwa katumwa na wazungu?
Hivi huwa mnafikiria kabla ya ku post au uhalisia ndio kweli kabisa uwezo wa fikra ulipoishia?
You are better than this
Mtu anaanini kuwa nchi fulani au private fulani inaweza kuitisha nchi huru nyingine?
Yaani mtu ana akli timamu ana post eti barua imetumwa kwa jeshi la polisi, si bora iliyotumwa officially na nchi , yaani mfano Mkono advocate Company iitishie Trinidad and Tobago? Tuwe serious hii ni aina ya akina chief Mangungo wa Msowero kwa aina tofauti
Ni mpumbavu tu ndio atanunua wazo la post hii.
Msitufadhaishe kuwa upinzani umesheheni Malimbukeni wakati kuna wasomi wazuri au kuna wasomi wa makaratasi wamegoma kutumia akili zao zote