Polisi na NEC waanza kuhofia barua za Amsterdam & Partners LLP?

mbona hata Libya na Iraq zilikuwa zinasema hivi hivi zilipokuwa chini ya marais madikteta?

kikubwa ni haki itamalaki miongoni mwetu ili haya masahibu yasitupate.
Libya na Iraq mkuu ni tofauti na Tanzania. Hizo nchi ni waislamu na unajua wenzetu na dini yao. Sisi rais anasisitiza umoja, upendo na kuchapa kazi. Lisu na wapinzani wanasisitiza vita, wazungu na kuchukiana.
 
Mnachekesha, sisi ni nchi huru, tunajiamlia mambo yetu. Wazungu wajanja hapo hiyo gharama imeahidiwa kulipwa kwa mikataba minono ya upendeleo atakayo itoa lisu pindi akiwa rais (kitu ambacho hawezi kuwa rais maana watamuua akishindwa urais).
Watu wa propaganda lumumba mnakwama wapi?Mnadhani mnawaandikia wajinga humu jf?idiot
 
Quinine,

Amsterdam hatanii mwaka huu. Mitambo yote iko Tanzania. Lolote wanalofanya watu wanachukua ushahidi na kwenda mbele.

Nilisema humu na nasema tena humu. Huu ndo mwaka sahihi wa kuitoa madarakani CCM .?Hakuna kipindi rahisi kama mwaka huu na sababu kuu ni kwamba mwaka huu CCM lazima wataiba kura, na kama Lissu alivyosema kamwe hatokubali kuibiwa ivyo watu wataingia mtaani. Nina uhakika watu wakiingia mtaani polisi lazima watatumia nguvu na hapo ndo Amsterdam atapata ushahidi wake wote kupeleka ICC.

Chadema, ushauri wangu kwenu ni kuwa komaeni hivi hivi. Hawa CCM mwaka huu lazima watoke.
 
Uhuru wa kufanya utakalo /pumbavu
Mnachekesha, sisi ni nchi huru, tunajiamlia mambo yetu. Wazungu wajanja hapo hiyo gharama imeahidiwa kulipwa kwa mikataba minono ya upendeleo atakayo itoa lisu pindi akiwa rais (kitu ambacho hawezi kuwa rais maana watamuua akishindwa urais).
 
Libya na Iraq mkuu ni tofauti na Tanzania. Hizo nchi ni waislamu na unajua wenzetu na dini yao. Sisi rais anasisitiza umoja, upendo na kuchapa kazi. Lisu na wapinzani wanasisitiza vita, wazungu na kuchukiana.
Wapi Lissu amesisitiza vita? Kawadanganye wajinga wenzio.
 
Bila shaka kuna soft power fulani imetumika kwanza kuwezesha Lissu kurudi bila kukamatwa wala kubughudhiwa.

Hata Makonda kushindwa ubunge na hatimaye kuwekwa pembeni kwenye uongozi naamini ilikuwa ni janja ya kumuweka pembeni huku wakubwa wakisitiri sura zao. Makonda hakuwa mtu wa kuumbuliwa na wajumbe.

Tutaendelea kuona mengi ila itahitaji jicho la tatu.

Reagan aliwahi kusema, speak softly but carry a big stick.
 
Quinine,

Yaani hao amtardam wanaweza kupangia nchi mambo yao?

Nakushangaa sana hao amstardam wana mahusiano gani na Tanzania mpaka watupangie, yaani bavicha akiri zenu ni sifuli tu.
Hao wana mkataba na Lisu na sio mchi ya tanzania. Na hawana uwezo wowote wa kutupangia mabo yetu ila wanaweza kumpangia Lisu kwani ni kibaraka wao.
 
Kabla ya barua ya Amsterdam, Sirro na Magufuli walikuwa wamemnyima Lissu ulinzi...baada ya pale siku ya pili yake wakampa Ulinzi na akawa habughudhiwi kwenye mikutano yake
 
Mbona wewe Akili yako ni zero tena wewe ni juha zuzu kabsa, hawana uwezo wa kukupangia mbona kutwa CCM mnaenda kuomba misaada ulaya na shirika la fedha IFM huwapangia mashariti? CCM ikienda kupiga magoti kuomba omba misaada ulaya huwaita wazungu wafadhili wahisani lakini hao hao wazungu wakikataa ujinga wenu wa CCM mnakimbilia kuwaita wanaume wenzenu mabeberu utazani nyinyi CCM ni mbuzi jike.
 
Quinine,

Mtanzania ni mtu wa ajabu na uhovyo mwingi Sana

Mtu akitaka kufanya kazi yake, utasikia ameogopa, akitaka kubinya kidogo, amenunuliwa, anamfanyia mfalme n.k

Sasa tuwaeleweje!!!
 
Mtanzania ni mtu wa ajabu na uhovyo mwingi Sana

Mtu akitaka kufanya kazi yake, utasikia ameogopa, akitaka kubinya kidogo, amenunuliwa, anamfanyia mfalme n.k

Sasa tuwaeleweje!!!
CCM waache kuwabambikia kesi kuwapiga risasi kuwapora ushindi wapinzani
 
Amsterdam & Partners LLP – International Law Firm | London | Washington DC

Amsterdam & Partners LLP

Experienced partners to navigate both crisis and opportunity. Amsterdam & Partners LLP is a trusted advisor to clients experiencing complex challenges.

Our Practices

Arbitration & Litigation
Anti-Corruption
Extractive Industries
Frontier Markets
Human Rights
Crisis Management
 
Libya na Iraq mkuu ni tofauti na Tanzania. Hizo nchi ni waislamu na unajua wenzetu na dini yao. Sisi rais anasisitiza umoja, upendo na kuchapa kazi. Lisu na wapinzani wanasisitiza vita, wazungu na kuchukiana.
Lissu anawahadaa wazungu na hasa umati aliopata katika ziara zake za utalii unampa kichwa, umati kama ule haujaanzia kwaLissu, Mrema alipata sana tu, akaja Lipumba na Ngangali akapata umati wa kutosha na wao walifikia hata kutangaza balaza la mawazi kabla ya kupiga kura, akaja Dr. Slaa naye alipata sana tu, wakamalizia na Lowasa ambaye hadi barabara zilidekiwa na kina mama kutandika khanga barabarani.

Amsterdam anatakiwa ajue kuwa kujaza umati siyo kushinda uchaguzi, kuwa wajumbe wanaofanya maamuzi, Tundu lissu anataka kuvuta pesa tu hana jipya. Historia ya nyomi kwa atanzania iko wazi.

Baada ya october Lissu hatataka hata kuongea na waandishi wa habari kwa aibu
 
Kabla ya barua ya Amsterdam, Sirro na Magufuli walikuwa wamemnyima Lissu ulinzi...baada ya pale siku ya pili yake wakampa Ulinzi na akawa habughudhiwi kwenye mikutano yake
IGP ile video yake ya vitisho aliyoitoa juzi imefika The Hague wanaanza vikao vya kumjadili ikiwezekana aunganishwe kwenye kesi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…