AKILI NA UWEZO WAKO NDO UMEFIKIA MWISHO WALA TUSIKULAUMUWe gebwe kweli hivi hao LLP ndio nani hasa humu nchini?? Hii ni nchi huru, mtu anavunja sheria na kujiona yeye ni bora kuliko wagombea wengine, anawatukana, anaanza kampeni mapema halafu mnatutishia barua ya kikampuni cha mabeberu!! hatutishiki, wasitufokee
WEWE HUJAZUNGUKA HEBU JARIBU KUZUNGUKA TANZANIA HUONE WATU WANACHUKIA HUU UTAWALA, TAMBUA KWAMBA SIKU HAZIFANANI KAMWE JUMATATU YA WIKI HII NI TOFAUTI NA JUMATATU YA WIKI ILIYOISHA.UCHAGUZI WA 2015 NI TOFAUTI NA 2020 AU MNADHANI KILA JOGOO AKIWIKA NI ASUBUHI.Hao Amsterdam ni sawa na wapiga debe tu, wanajitekenya wenyewe na kucheka wenyewe, wanamdanganya Lissu kwamba watamsaidia ashinde as if wao ndio wapiga kura!!! ujinga mtupu, watashangaa sasa hawawajui watanzania wamuulize Mange
Hawa wapuuzi wengine tumewachana LIVE na wameshindwa kujibu hoja, wajinga wachache wanaoshikiliwa akili zao ndio hao, na huu mwaka mpuuzi Trump hachomoki.Quinine,
Yaani hao amtardam wanaweza kupangia nchi mambo yao?
Nakushangaa sana hao amstardam wana mahusiano gani na Tanzania mpaka watupangie, yaani bavicha akiri zenu ni sifuli tu.
Hao wana mkataba na Lisu na sio mchi ya tanzania. Na hawana uwezo wowote wa kutupangia mabo yetu ila wanaweza kumpangia Lisu kwani ni kibaraka wao.
Hakuna hata baya moja litakalotokea,na kwa taarifa yako Huyu mgombea wenu mnayempigia chepuo aliyekuwa ameolewa ubeligiji lazima aenguliwe,na wala hakutakuwa na vurugu kama udhaniavyoPolisi wakiongozwa na IGP na NEC wafanye kazi zao kwa usawa na haki vinginevyo wakifanya kazi ili wamfurahishe mtu mmoja nawaambia lolote baya litakalo tokea mwaka huu wao ndio watajibu na sio huyo mtu mmoja wanae taka kumfurahisha. Wanasemaga akili za kuambiwa... Kazi kwenu
Shida yenu hamsomi mikataba ya kimataifa ambayo Tanzania ni mwanachama,pia kama ulikimbia somo la historia advance basi mambo kama haya huwezi kuyajua ,nchi huru zimewahi kuambiwa walipe fidia kwa hasara ya vita wakagoma vita ikaanza upyaNimekuwa nikijiuliza kuwa hivi hiki kizazi ndio cha kupeleka nchi mbele
Mtu anaanini kuwa nchi fulani au private fulani inaweza kuitisha nchi huru nyingine?
Yaani mtu ana akli timamu ana post eti barua imetumwa kwa jeshi la polisi, si bora iliyotumwa officially na nchi , yaani mfano Mkono advocate Company iitishie Trinidad and Tobago? Tuwe serious hii ni aina ya akina chief Mangungo wa Msowero kwa aina tofauti
Ni mpumbavu tu ndio atanunua wazo la post hii.
Msitufadhaishe kuwa upinzani umesheheni Malimbukeni wakati kuna wasomi wazuri au kuna wasomi wa makaratasi wamegoma kutumia akili zao zote
“It is our intent to hold the members of the NEC personally accountable”, Robert Amsterdam.Hivi karibuni kumekuwa na mfululizo wa barua kutoka kampuni binafsi ya Amsterdam & Partners LLP, walioingia mkataba na mgombea urais wa Chadema Tundu Lissu kumsaidia masuala yake ya kisheria, kiusalama na ulinzi wa haki zake.
Moja ya sehemu ya barua yao waliyoliandikia Jeshi la polisi inasema,
"By this letter, we notify you (Tanzania Police) our intention to hold accountable all public servant of the government of Tanzania individually... " Robert Amsterdam.
Vile vile waliiandikia Tume ya Taifa ya Uchaguzi NEC kuwa,
“It is our intent to hold the members of the NEC personally accountable”, Robert Amsterdam.
Jana Mkuu wa Jeshi la Polisi IGP Simon Sirro amewataka makamanda wa jeshi hilo kuja na majibu ya nguvu kwa mikoa iliyo anza kufanya vurugu kwenye misafara ya wanasiasa ikiwemo kurusha mawe na wale waliohusika kuchoma ofisi za vyama vya siasa.
"...mtu yeyote wa ovyo ovyo atakaejihusisha na uchomaji wa ofisi au kujihusisha na vurugu tutamshughulikia vizuri" IGP Sirro.
Je, hizi zinaweza kuwa dalili kwa jeshi la polisi kuanza kubadilika au ni kwa sababu ya vitisho vya barua za Robert Amsterdam?
Advance History uliyosoma imekuandaa sana kiakili kuwa mtumwa wa Mataifa makubwa.Shida yenu hamsomi mikataba ya kimataifa ambayo Tanzania ni mwanachama,pia kama ulikimbia somo la historia advance basi mambo kama haya huwezi kuyajua ,nchi huru zimewahi kuambiwa walipe fidia kwa hasara ya vita wakagoma vita ikaanza upya
Kwenye ICJ kulikuwa na barua za mawakili nguli kutoka Uholanzi??? Mtajua hamjui mwaka huu!! Huyo ndo LissuJidanganye tu, ICJ yalikuwa maneno matupu. Sasa hivi sio maneno shughuli ipo kweli. Nyie fanyeni ujinga tu Muone mtaishia wapi??
Haijawahi kutokea na haitakaa itokee zaidi ya 2015 mlivyokua mnajaza watu na kukubalika na mkaangukia pua ndio iwe mwaka huu mnasafiria nyota ya jina moja tu la Lissu wala sio chama chenu cha machadema mtashangaaWEWE HUJAZUNGUKA HEBU JARIBU KUZUNGUKA TANZANIA HUONE WATU WANACHUKIA HUU UTAWALA, TAMBUA KWAMBA SIKU HAZIFANANI KAMWE JUMATATU YA WIKI HII NI TOFAUTI NA JUMATATU YA WIKI ILIYOISHA.UCHAGUZI WA 2015 NI TOFAUTI NA 2020 AU MNADHANI KILA JOGOO AKIWIKA NI ASUBUHI.
Wanafikiri Tanzania ni Sacos. khe khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeMnachekesha, sisi ni nchi huru, tunajiamlia mambo yetu. Wazungu wajanja hapo hiyo gharama imeahidiwa kulipwa kwa mikataba minono ya upendeleo atakayo itoa lisu pindi akiwa rais (kitu ambacho hawezi kuwa rais maana watamuua akishindwa urais).
Huyo Robert Armstadam ana mkataba gani ambao ameingia na nchi yetu?? unadhani sote hatuijui mikataba ya kimataifa? na kwanza hata nchi ikiamua kujitoa inajitoa tu, hao Marekani wamejitoa mikataba mingi tu na haiwi chochote mfano mkata wa Kyoto kupunguza uharibifu wa mazingira Marekani kagoma na haiwi chochote, maswala ya haki za akina mama uwiano sawa wa ajira kapinga na haiwi chochote sasa iwe huyu ki.m.a mweupe mmoja ndio atupangie cha kufanya humu nchini!!! Hell no!! Lissu akikiuka sheria na kanuni za uchaguzi atakatwa halafu tuone sasa atafanyaje huyo beberu wenuShida yenu hamsomi mikataba ya kimataifa ambayo Tanzania ni mwanachama,pia kama ulikimbia somo la historia advance basi mambo kama haya huwezi kuyajua ,nchi huru zimewahi kuambiwa walipe fidia kwa hasara ya vita wakagoma vita ikaanza upya
Hivi karibuni kumekuwa na mfululizo wa barua kutoka kampuni binafsi ya Amsterdam & Partners LLP, walioingia mkataba na mgombea urais wa Chadema Tundu Lissu kumsaidia masuala yake ya kisheria, kiusalama na ulinzi wa haki zake.
Moja ya sehemu ya barua yao waliyoliandikia Jeshi la polisi inasema,
"By this letter, we notify you (Tanzania Police) our intention to hold accountable all public servant of the government of Tanzania individually... " Robert Amsterdam.
Vile vile waliiandikia Tume ya Taifa ya Uchaguzi NEC kuwa,
“It is our intent to hold the members of the NEC personally accountable”, Robert Amsterdam.
Jana Mkuu wa Jeshi la Polisi IGP Simon Sirro amewataka makamanda wa jeshi hilo kuja na majibu ya nguvu kwa mikoa iliyo anza kufanya vurugu kwenye misafara ya wanasiasa ikiwemo kurusha mawe na wale waliohusika kuchoma ofisi za vyama vya siasa.
"...mtu yeyote wa ovyo ovyo atakaejihusisha na uchomaji wa ofisi au kujihusisha na vurugu tutamshughulikia vizuri" IGP Sirro.
Je, hizi zinaweza kuwa dalili kwa jeshi la polisi kuanza kubadilika au ni kwa sababu ya vitisho vya barua za Robert Amsterdam?
Toka lini masikini akawa huruMnachekesha, sisi ni nchi huru, tunajiamlia mambo yetu. Wazungu wajanja hapo hiyo gharama imeahidiwa kulipwa kwa mikataba minono ya upendeleo atakayo itoa lisu pindi akiwa rais (kitu ambacho hawezi kuwa rais maana watamuua akishindwa urais).
Majibu ya uhakika yatapatikana siku ya matokeo ya uchaguzi mkuu, kwa ngazi zote za Urais, Ubunge, na Udiwani, ila kwa dalili hizi naona atleast polisi wame respond positively.
2015 mliiba kuraHaijawahi kutokea na haitakaa itokee zaidi ya 2015 mlivyokua mnajaza watu na kukubalika na mkaangukia pua ndio iwe mwaka huu mnasafiria nyota ya jina moja tu la Lissu wala sio chama chenu cha machadema mtashangaa
Tazama hili jini hata kuandika limeshindwaHuu no mtego kwa Chadema maana ndio walioigiza ckurushiana mawe na kuchoma polisu
Unadhani huyo ni binadamu? ni jamii ya majini aina ya majini makataUmeandika unakimbizwa Mkuu?