Polisi Njombe: Mwanaume aliyeua Mkewe na Kumkata Vipande Vipande Alinyimwa Unyumba

Amemnyima unyumba mwenye nyumba alafu akaenda kumpa mwingine,
Any way , ndoa ni kuheshimiana tu, ukikosa nidhamu huwez kuishi na mtu ndani .
 
Mwanamme bila kamchepuko hata kamoja ni makosa makubwa.Kifo cha presha kinakusubiri...Hawa wake zetu kuna muda wanatuzoe mpaka basi, wanawaza watoto muda mwingi....
Huyo jamaa kakosea..ashiki haziwezi kuwa sababu ya kutoa mtu roho..mapepo hayo
 
Zamani nilikuwa nawalaumu Sana watu wanaouwa wake zao kikatilii ila Sasa hivi simlaumu mtu Hawa viumbe ni wanakera hatari unajua Kuna wakati mtu anakujibu jibu ambalo hasira inakushika unatamani upige mbwa ya mtu basi moyo unatulia unaenda Kwa mchepuko unatulia siku unapewa unyumba unaoga chai ya moto mahaba ukilud unatulia siku mbili unaenda Kwa mchepuko mwingne hivyo hivyo basi moyo unasuzika
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…