Kumbe kunyimama unyumba ndo hatari hivi smart??🤠
Jamaa mzembe tu...Kumbe kunyimama unyumba ndo hatari hivi smart??🤠
Atakua alikua haudhirii vikao vyenyu kiumeni🤠Jamaa mzembe tu...
Ohh wadada wenye mindset kama yako ni wachache sana, hongera sana 👏,basi shemeji anafaidiLengo la mahusiano ni kupeana
Zamani nilikuwa nawalaumu Sana watu wanaouwa wake zao kikatilii ila Sasa hivi simlaumu mtu Hawa viumbe ni wanakera hatari unajua Kuna wakati mtu anakujibu jibu ambalo hasira inakushika unatamani upige mbwa ya mtu basi moyo unatulia unaenda Kwa mchepuko unatulia siku unapewa unyumba unaoga chai ya moto mahaba ukilud unatulia siku mbili unaenda Kwa mchepuko mwingne hivyo hivyo basi moyo unasuzikaHuyo jela yake haitakuwa kama angekuwa ameuwa mtu tofauti na mkewe.
Busara ya kawaida tu ikitumika iweje mke amnyime mumewe unyumba halafu atoke arudi akiwa hana maelezo yaliyonyooka na hakuna anayejua alimjibu nini mumewe alipoulizwa alikotoka,anaweza akawa alimwambia nimetoka kugongwa na wanaojua kugonga.
Usicheze na wanawake wa kizazi hiki anaweza akakupa jibu moja ukaomba ardhi ipasuke.
Ndiyo mkuu halaf asikie ety huko nje anagongwa SI unajua ukiona mbwa wako anakubwekea tayari Kuna mjinga anampa mifupaYaani kunyimwa U-House ndiyo amuue mtu? Tena kinyama vile? Mke wake?