Ahyan
JF-Expert Member
- Jun 7, 2019
- 2,310
- 5,482
Hahahahaaa... Kama mliwahonga ili waifunge yanga.. poleni sanaPolisi imejaa mayuda wengi sana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahahahaaa... Kama mliwahonga ili waifunge yanga.. poleni sanaPolisi imejaa mayuda wengi sana
Mtani umefunga goli ngapi hadi sahiviYanga timu yangu, usije ukawa kama liverpool plz piga hao polisi wakalinde raia😁😁
Goli muluaCAF waliangalie hili goli, kisha liwe Goli la wiki.
Welldone Fiston
Bahati mbaya hii sio michuano ya CAF, na timu hizi zinazocheza hazipo kwenye kundi lolote 😁😁😁CAF waliangalie hili goli, kisha liwe Goli la wiki.
Welldone Fiston
Moja mtani😁😁 wanasema et n offside 🤣Mtani umefunga goli ngapi hadi sahivi
Goli la Week haliwagi goli la Offside, marefa wetu na vibendera shida Sana.CAF waliangalie hili goli, kisha liwe Goli la wiki.
Welldone Fiston
🤣🤣🤣🤣 Kwa hiyo polisi wamejifunga ama nani amefunga?!Moja mtani😁😁 wanasema et n offside 🤣
Mtani msimu ujao tunaleta VAR sisi atutaki dhambiGoli mulua
Kweli kabisa polisi hawatakiwi kucheza ligi kuu, bora waje KengoldYanga wanabebwa sana ile ilikuwa offside kabisa.Pia timu kama hii ya polisi inakuwaje ligi kuu jamani
Hao waamuzi wanamuogopa Mwakalebela, alishawapiga mkwara.Goli la Week haliwagi goli la Offside, marefa wetu na vibendera shida Sana.
Mtani utasikiliza kipindi cha michezo redio maria😁😁😁 kule wanajua zaid kuliko yule kitenge🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 Kwa hiyo polisi wamejifunga ama nani amefunga?!
Yanga wanafunga goli la Offside ya wazi
Fiston kaotea,angalia wakati anapewa pasi tayari alikuwa offside!Ukitaka kujiridhisha subiri kipyenga cha mwisho utapata majibu!Wabongo tunapenda mpira ila sheria hatuzijui.
Tuisila kapokea pasi akiwa onside, kamtoka beki, fiston nae kawatoka beki. Wamebaki wao na kipa, Tuisila anampasia Fiston, anafunga.
Inakuaje Offside hapo?!
Hiyo itakua sheria yako na labda sio mfuatiliaji wa mpira. Mkisha kuwa wachezaji wa timu moja zaidi ya mmoja mmewatoka mabeki hata mpiagiane pasi elfu kumi hakuna Offside hapo.Fiston kaotea,angalia wakati anapewa pasi tayari alikuwa offside!Ukitaka kujiridhisha subiri kipyenga cha mwisho utapata majibu!
🤣🤣🤣🤣Mtani utasikiliza kipindi cha michezo redio maria😁😁😁 kule wanajua zaid kuliko yule kitenge🤣🤣🤣
Tunasubiri match yenu nanyi ili tuwambie wamisri na wakongo kuwa nyinyi huku kwetu tz n underdog 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Sawa mtani naona siku hizi timu yetu imeacha kulilia penati, hii ni hatua nzuri sana. kudos kwa benchi la ufundi
Huyu kaachika mwacheni apunguze stress.Mleta uzi wewe ni Tk!