Sina wema huo mtani, ebu punguza kidogo uwagawie wengine😁 mimi huu wema nilio nao unanitosha kabisa kutumia had mwakani, alafu lete kisu nikukatie upendo kidogo ukale na wanao leo uck🤣🤣🤣Baki mwenyewe tu mtani, nadhani dunia nzima ni wewe tu mwenye upendo wa alifa na omega
Hiyo itakua sheria yako na labda sio mfuatiliaji wa mpira. Mkisha kuwa wachezaji wa timu moja zaidi ya mmoja mmewatoka mabeki hata mpiagiane pasi elfu kumi hakuna Offside hapo.
Angalia goli la pili la Tp Mazembe utajifunza kitu hapo.
Tatizo mmesajili wakulima, watu wanafukua na kukausha nyasi badala ya kucheza mpiraKwa mwenendo huu wa timu, tusahau tu kuhusu Ubingwa msimu huu! Kuna wakati tunatakiwa tu kusema ukweli.
Timu yenu hainaga utani dhidi ya hivi vitimu vidogo! Sasa timu yetu sisi wachezaji wanarukaruka tu!
Wamefunga kagoli kamoja, wote wanarudi nyuma kukaba! Tangu lini ushindi wa goli mija ukalindwa!! Mechi na Mbeya City walifanya hivi hivi na kuambulia sare! Sasa utasema tuna kocha kweli!!
Hiyo itakua sheria yako na labda sio mfuatiliaji wa mpira. Mkisha kuwa wachezaji wa timu moja zaidi ya mmoja mmewatoka mabeki hata mpiagiane pasi elfu kumi hakuna Offside hapo.
Angalia goli la pili la Tp Mazembe utajifunza kitu hapo.
Fiston amefunga akiwa Offside..Cha dhuluma hakidumu..FT, VPL 1-1
Safari hii Maji mnaita Mma[emoji2957
Kwani kaze ndiye aliyesajili hao wachezaji wengine walio mizigo?Kaze atuachie team yetu.
Usikate tamaa mapema si bado unaongoza ligi? Tatizo liko wapi?Pale kocha hatuna! Timu imepata kagoli kamoja tu, kwa timu ndogo kama Polisi badala ya kuongeza washambuliaji! Anamtoa kiungo mchezeshaji Niyonzima na kumuingiza kiungo mkabaji Zawadi Mauya!
Isitoshe hii ni mechi ya pili sasa, ukiondoa ile ya Meya City! wapinzani wanasawazisha dk za lala salama! Kama Kocha mwenye ujuzi unashindwa kugundua tatizo la timu yako liko wapi kuruhusu magoli dakika za majeruhi!
Kwa hali hii Ubingwa msimu huu tusahau! Na njia pekee ya kurudisha morali ya timu, ni kubadili tu benchi la ufundi. No way out.
Wewe ndio umesema ukweli, na msema ukweli ni mpenzi wa Mungu.Wana Yanga wenzangu timu hatuna na tusitegemee lolote kwenye msimu tu cha msingi tusubirie msimu ujao.
Mpaka sasa
1.Viongozi washapaniki.
2.Mashabiki wamepaniki.
3.Wachezaji wamepaniki leo kwa kifupi timu nzima imecheza ovyo.
4.Kocha nae kapaniki,dk ya 75 una mtoa Niyonzima unamuingiza Mauya akakabe yaani tuna wahofia mpaka hawa polisi,matokeo yake tukawapa nafasi polisi wakachomoa.Kocha ana hofu,muoga,hajiamini na hawaamini wachezaji wake.
Cha msingi tujilaumu hasa upande wa usajili,wenzetu wamesajili bunduki sisi tumesajili mikuki niki mtoa Mukoko na Tk Master hizi sajili nyingine za nje zote hovyo na sizani kama huwaga tunawafuatilia hao wachezaji wa nje naona tunachukua chukua.
So sitegemei mabadiliko kwani tutamaliza ligi na mikuki yetu hii,cha msingi tuvumilie timu hatuna msimu uishe tuanze upya kwani timu nzima haijiamini.
Usisahau tu ingawa tunasua sua kupata matokeo, lakini msimu huu tayari tuna Kombe letu la Mapinduzi huku nyinyi mna lile kombe mlilo jinunulia wenyewe!!
Yanga ndo timu pekee duniani inayoongoza ligi huku IKIWA IMEPOTEZA MATUMAINI YA UBINGWA[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Yanga ndo timu pekee duniani inayoongoza ligi huku inaongoza kwa KULALAMIKA.
Naona umesahau ngao ya hisani iliyofungua league, pole sana, halafu kwanini CAf kwenye ranking wanawaweka chini wakati mna kombe la mapinduzi?Usisahau tu ingawa tunasua sua kuoata matokeo, lakini msimu huu tayari tuna Kombe letu la Mapinduzi huku nyinyi mna lile kombe mlilo jinunulia wenyewe!!