Wana Yanga wenzangu timu hatuna na tusitegemee lolote kwenye msimu tu cha msingi tusubirie msimu ujao.
Mpaka sasa
1.Viongozi washapaniki.
2.Mashabiki wamepaniki.
3.Wachezaji wamepaniki leo kwa kifupi timu nzima imecheza ovyo.
4.Kocha nae kapaniki,dk ya 75 una mtoa Niyonzima unamuingiza Mauya akakabe yaani tuna wahofia mpaka hawa polisi,matokeo yake tukawapa nafasi polisi wakachomoa.Kocha ana hofu,muoga,hajiamini na hawaamini wachezaji wake.
Cha msingi tujilaumu hasa upande wa usajili,wenzetu wamesajili bunduki sisi tumesajili mikuki niki mtoa Mukoko na Tk Master hizi sajili nyingine za nje zote hovyo na sizani kama huwaga tunawafuatilia hao wachezaji wa nje naona tunachukua chukua.
So sitegemei mabadiliko kwani tutamaliza ligi na mikuki yetu hii,cha msingi tuvumilie timu hatuna msimu uishe tuanze upya kwani timu nzima haijiamini.