happyxxx
JF-Expert Member
- Nov 14, 2020
- 604
- 1,970
pole, hujui loloteWapo sana mjini, tunapishana nao tu daily. Kwani wamekosea wapi? Mbona wako smart sana kwenye ku present hoja zao?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
pole, hujui loloteWapo sana mjini, tunapishana nao tu daily. Kwani wamekosea wapi? Mbona wako smart sana kwenye ku present hoja zao?
Unawashwa wewe naa wehu wake. Lishapita hilo aliyekufa Kafa unatapatapa tuUnawashwa?
Mbona hukusema hivyo wakati yule chizi mwenzio musiba anatukana wastaafu??Kiongozi kufa ndio sababu ya kuvunja sheria?
Mkabila kama wewe hufai.Wanalipwa na wazungu so jibu unalo.
Mnafanya kazi kwa mihemuko ya kisiasa isiyo na kichwa wala miguu. Huko Mtwara mmemkamata mwanamke kwa kuvaa dera la Chadema. Huko Manyara mmekamata watu kwa kusherehekea mpaka sasa hatujasikia kuwapeleka mahakamani.
Lakini hawa watoto wa vigogo wanadhihaki kifo cha hayati JPM na kusherehekea wazi kabisa kitendo ambacho ni kosa la kimtandao lakini hawakamatwi. Fanyeni kazi bila kubagua hakuna aliye juu ya sheria.
Kwani unafikiri hao polisi hawana akili?Mnafanya kazi kwa mihemuko ya kisiasa isiyo na kichwa wala miguu. Huko Mtwara mmemkamata mwanamke kwa kuvaa dera la Chadema. Huko Manyara mmekamata watu kwa kusherehekea mpaka sasa hatujasikia kuwapeleka mahakamani.
Lakini hawa watoto wa vigogo wanadhihaki kifo cha hayati JPM na kusherehekea wazi kabisa kitendo ambacho ni kosa la kimtandao lakini hawakamatwi. Fanyeni kazi bila kubagua hakuna aliye juu ya sheria.
sina ukabila ila siwapendi chadema kwa moyo wangu wote. nimeshawajua rangi zao vizuri hakuna ataenishika maskio tenaMkabila kama wewe hufai.
Na watu wengi hawajiulizi, wanaishia kukamatwa wao tu.Hili swali hata mimi ninajiulza au kwa kuwa baba zao walikuwa viongozi ndani ya CCM na serikalini ? makosa wanayoyafanya hayana tofauti na wengine waliopo magerezani.
Hayo yote hayatakiwiNa kwanini watu walazimishe kuhuzunika? nadhani tumuombee JPM hakuna sababu ya kukamatana
Yani ni [emoji870] tena tumemuongezea ule muda aliotaka ajiongezee kutawala,yani mungu ni fundi kuliko kelbu moja tu ya covid mtu chali...huku aliko anapendwa sana anasubiria wamchague kuwaongozaMnafanya kazi kwa mihemuko ya kisiasa isiyo na kichwa wala miguu. Huko Mtwara mmemkamata mwanamke kwa kuvaa dera la Chadema. Huko Manyara mmekamata watu kwa kusherehekea mpaka sasa hatujasikia kuwapeleka mahakamani.
Lakini hawa watoto wa vigogo wanadhihaki kifo cha hayati JPM na kusherehekea wazi kabisa kitendo ambacho ni kosa la kimtandao lakini hawakamatwi. Fanyeni kazi bila kubagua hakuna aliye juu ya sheria.
Hata midomoni kwani haujawahi kunyonyeshwa?Matusi yanafanywa chumbani