Idugunde
JF-Expert Member
- May 21, 2020
- 6,404
- 6,969
- Thread starter
- #81
Haki ya kutoa maoni kikatiba ndio upost kukashfu kifo cha kiongozi wa nchi? Zipo lugha za staha zinazotakiwa.Kuna watu hii nchi wana kinga ...usiwafuate na pia ukiangalia uhalisia binafsi naoana wanatumia haki yao kikatiba kutoa maoni yao...hawajachagua kua wanafki