Polisi Tanzania kwanini hamuwakamati Maria Sarungi na Fatma Karume? Mnabaki kukamata wananchi wa kawaida?

Polisi Tanzania kwanini hamuwakamati Maria Sarungi na Fatma Karume? Mnabaki kukamata wananchi wa kawaida?

HUU UZI NI KOMEDI TOSHA HAPA NILIPO NACHEKA KWA HUZUNI.
 
Hakuna mtu aliyekamatwa kwa kuvaa dela la chadema, hacheni kuzusha uongo.

BTW Maria na Fatma walishakimbiaga nchi kitambo hawapo nchini. Wapo wanatumika na wazungu huko kutuzulia taaruki ili tuingie kwenye civil war.
Habari ya kukamatwa huyo mama ni ya kweli maana police wamthibisha kumshikilia. Haileti picha nzuri. Ni vyema akaachiwa.

Bado police wanafanya kazi kwa woga kama ilivyokuwa kabla ya March 17
 
Unajua dress code ya msiba au unakimbilia matusi tu.

Hata kama unamchukia mtu akishakufa hakuna sababu ya kushangilia
Nguo za kijani ndo dress codes za msiba? Kesho Zanzibar utawaona ACT na CCM wakiwa na mavazi yao bila bughudha.
 
Hao ni akili kubwa wajuzi wa sheria. wanajua wanaposti nini katika angle ya kisheria.wakienda mahakamani wanashinda Kama anavyoshinda Tundu Lissu umaarufu miongoni mwa watanzania unapanda.kamata Kanata za mihemuko inafanya kazi kwa wanyonge + masikini Kama hao.
Si jambo jema kusherekea kifo
RIP Rais dk JPM.
Acha kupotosha, kesi ni ushahidi . Kama ushahidi upo wazi, watashinda vipi? Watu kibao wanakamatwa kwa kupost upuuzi kama wanaopost.
 
Nguo za kijani ndo dress codes za msiba? Kesho Zanzibar utawaona ACT na CCM wakiwa na mavazi yao bila bughudha.
Jinga hilo unahangaika kulijibu.
 
Kuna watu wanajimwambafayi hadi kwenye misiba. Jana niliona kijani wakati wa kuaga mwili wa JPM,kwa nini wasikamatwe? Baadhi ya ma CCM yamebeba mapapai vichwani.
Kuvaa kijani ni kosa? Kubeba mapapai ni kosa?
 
Wana kosa gani mpaka wakamatwe?
Wamefurahia Mzizi Mkuu wa Korosho zao Kusombwa na Maji ya Mto Rufiji na kwamba huenda Korosho zao za Msimu ujao si tu zikawa nyingi bali pia watapata mno Faida ya Kimauzo kupitia Kangomba Wao waliowazoea.
 
Yamkini ni mmoja ndo shabiki wa man city ila hawawezi kuonyesha wote mana wanaweza kuonyesha idadi yao. So inabid awe mmoja, na huenda hashabikii hiyo man city ila ni katika kwapoteza watu maboya, au kuwazuga wanaomhisi, anaweza kuwa ni shabiki wa asernal😆😆😆 lakini ili msifahamu ndo anawapoteza hivo maboya. Mkihisi ni Okwaaa mnajijibu wenyewe kuwa lakini mbona Okwaaa ni shabiki wa Chelsea na Yanga. Mnayemtafta n shabiki wa man city. Hivi mnanipotezea kumbe ndo mm mwenyewe🤣.
Bro hizi mambo zina mambo mengi ndani yake
Mtu wa tatu ila wote washabiki wa MAN CITY SIO
 
Mnafanya kazi kwa mihemuko ya kisiasa isiyo na kichwa wala miguu. Huko mtwara mmemkamata mwanamke kwa kuvaa dera la Chadema. Huko Manyara mmekamata watu kwa kusherehekea mpaka sasa hatujasikia kuwapeleka mahakamani.

Lakini hawa watoto wa vigogo wanadhihaki kifo cha hayati JPM na kusherehekea wazi kabisa kitendo ambacho ni kosa la kimtandao lakini hawakamatwi. Fanyeni kazi bila kubagua hakuna aliye juu ya sheria.
Huna akili. Yaani kwa mawazo yako haya akili zako ni kama mbuzi za kuvukia bara bara na meko alifanikiwa sana kuwatia ujinga kama hitler alivyofanikiwa
 
Huna akili. Yaani kwa mawazo yako haya akili zako ni kama mbuzi za kuvukia bara bara na meko alifanikiwa sana kuwatia ujinga kama hitler alivyofanikiwa
Wewe mburula funga domo lako. Shenzi mkubwa.
 
Mnafanya kazi kwa mihemuko ya kisiasa isiyo na kichwa wala miguu. Huko mtwara mmemkamata mwanamke kwa kuvaa dera la Chadema. Huko Manyara mmekamata watu kwa kusherehekea mpaka sasa hatujasikia kuwapeleka mahakamani.

Lakini hawa watoto wa vigogo wanadhihaki kifo cha hayati JPM na kusherehekea wazi kabisa kitendo ambacho ni kosa la kimtandao lakini hawakamatwi. Fanyeni kazi bila kubagua hakuna aliye juu ya sheria.
Siku hizi umechukua nafasi aliyokuwa nayo johnthebaptist ambaye kiwango chake kimeshuka sana. Kwa taarifa yako Polisi wanakamata watu wa kada za chini kwa vile wanajua wazi hakuna kosa walilotenda. Ni vigumu kujua huyu anasherehekea au anakunywa pombe na kula nyama choma kwa raha zake. Ni wapi imeandikwa Rais akifa wananchi waache kunywa bia? Kama ukiwakuta baa au nyumbani kwa mmoja wao wamenunua kreti zao 3 na mbuzi wanachoma ukawakama, huko mahakamani utakwenda kusema umewakuta wanasherehekea au wanakula na kunywa?
 
Mnafanya kazi kwa mihemuko ya kisiasa isiyo na kichwa wala miguu. Huko mtwara mmemkamata mwanamke kwa kuvaa dera la Chadema. Huko Manyara mmekamata watu kwa kusherehekea mpaka sasa hatujasikia kuwapeleka mahakamani.

Lakini hawa watoto wa vigogo wanadhihaki kifo cha hayati JPM na kusherehekea wazi kabisa kitendo ambacho ni kosa la kimtandao lakini hawakamatwi. Fanyeni kazi bila kubagua hakuna aliye juu ya sheria.
Na wewe wakisema kwanini hukamatwi?
 
Siku hizi umechukua nafasi aliyokuwa nayo johnthebaptist ambaye kiwango chake kimeshuka sana. Kwa taarifa yako Polisi wanakamata watu wa kada za chini kwa vile wanajua wazi hakuna kosa walilotenda. Ni vigumu kujua huyu anasherehekea au anakunywa pombe na kula nyama choma kwa raha zake. Ni wapi imeandikwa Rais akifa wananchi waache kunywa bia? Kama ukiwakuta baa au nyumbani kwa mmoja wao wamenunua kreti zao 3 na mbuzi wanachoma ukawakama, huko mahakamani utakwenda kusema umewakuta wanasherehekea au wanakula na kunywa?
Wanaonea wananchi wa kawaida wanaoomboleza kwa kunywa bia. Wanaovunja makosa ya mtandao wanawaacha.
 
Siku hizi umechukua nafasi aliyokuwa nayo johnthebaptist ambaye kiwango chake kimeshuka sana. Kwa taarifa yako Polisi wanakamata watu wa kada za chini kwa vile wanajua wazi hakuna kosa walilotenda. Ni vigumu kujua huyu anasherehekea au anakunywa pombe na kula nyama choma kwa raha zake. Ni wapi imeandikwa Rais akifa wananchi waache kunywa bia? Kama ukiwakuta baa au nyumbani kwa mmoja wao wamenunua kreti zao 3 na mbuzi wanachoma ukawakama, huko mahakamani utakwenda kusema umewakuta wanasherehekea au wanakula na kunywa?
Wanaonea wananchi wa kawaida wanaoomboleza kwa kunywa bia. Wanaovunja makosa ya mtandao wanawaacha.
 
Hili swali hata mimi ninajiulza au kwa kuwa baba zao walikuwa viongozi ndani ya CCM na serikalini ? makosa wanayoyafanya hayana tofauti na wengine waliopo magerezani.
Wewe ni "Kipeperushi" ndani ya CCM kaa kimya. Nakuona unajitutumua kila mahali tukuone unaijua sana CCM kumbe huna lolote. Mfano huo wa Fatuma na Maria utoshe kukuonesha unavyoshobokea vitu vilivyo juu ya uwezo wako.
 
Habari ya kukamatwa huyo mama ni ya kweli maana police wamthibisha kumshikilia. Haileti picha nzuri. Ni vyema akaachiwa.

Bado police wanafanya kazi kwa woga kama ilivyokuwa kabla ya March 17
chadema mpoje sijui yani nawaona kama mmechanganyikiwa.
 
Back
Top Bottom