Polisi Tanzania kwanini hamuwakamati Maria Sarungi na Fatma Karume? Mnabaki kukamata wananchi wa kawaida?

Polisi Tanzania kwanini hamuwakamati Maria Sarungi na Fatma Karume? Mnabaki kukamata wananchi wa kawaida?

Hakuna mtu aliyekamatwa kwa kuvaa dela la chadema, hacheni kuzusha uongo.

BTW Maria na Fatma walishakimbiaga nchi kitambo hawapo nchini. Wapo wanatumika na wazungu huko kutuzulia taaruki ili tuingie kwenye civil war.
Nimemfuatilia mijadala yako yote ni yakipuuzi tu, wewe unabishana na vyombo vya habari?? Haya ndio yamesababisha mpka leo watu wafurahia vifoo vya wengine sababu ya uonevu wenu. Puuuzi kubwa kabisa wewe
 
Nimemfuatilia mijadala yako yote ni yakipuuzi tu, wewe unabishana na vyombo vya habari?? Haya ndio yamesababisha mpka leo watu wafurahia vifoo vya wengine sababu ya uonevu wenu. Puuuzi kubwa kabisa wewe
Nini tena?
 
Mnafanya kazi kwa mihemuko ya kisiasa isiyo na kichwa wala miguu. Huko mtwara mmemkamata mwanamke kwa kuvaa dera la Chadema. Huko Manyara mmekamata watu kwa kusherehekea mpaka sasa hatujasikia kuwapeleka mahakamani.

Lakini hawa watoto wa vigogo wanadhihaki kifo cha hayati JPM na kusherehekea wazi kabisa kitendo ambacho ni kosa la kimtandao lakini hawakamatwi. Fanyeni kazi bila kubagua hakuna aliye juu ya sheria.
Kuwakamata hao Intelligent Women yakupasa nawe unayewakamata uwe very Intelligent kitu ambacho ni tofauti kwa hawa unaowashurutisha kwenda Kuwakamata.
 
Acha upumbavu. Ni kosa kwa sheria ipi ya mtandao.

Yaani eti ni sheria kwamba kila mtu akifa lazima watu wahuzunike?

Huu ni ujinga wa hali ya juu.
Mkuu mi nimeshangaa Sana , mi nimepost status picha ya kikwete na caption yangu Safi kabisa nashangaa mtu mmoja mkubwa Tu kaanza kunitisha tisha....daaah , haya maisha haya jaman Sawa Tu lakn
 
Hakuna mtu aliyekamatwa kwa kuvaa dela la chadema, hacheni kuzusha uongo.

BTW Maria na Fatma walishakimbiaga nchi kitambo hawapo nchini. Wapo wanatumika na wazungu huko kutuzulia taaruki ili tuingie kwenye civil war.
Acha uzushi huyu maria nimepishana nae town juzi kati na kigari chake cha njano cha kisista du acha kuwalisha watu matango pori mzee
 
Mnafanya kazi kwa mihemuko ya kisiasa isiyo na kichwa wala miguu. Huko mtwara mmemkamata mwanamke kwa kuvaa dera la Chadema. Huko Manyara mmekamata watu kwa kusherehekea mpaka sasa hatujasikia kuwapeleka mahakamani.

Lakini hawa watoto wa vigogo wanadhihaki kifo cha hayati JPM na kusherehekea wazi kabisa kitendo ambacho ni kosa la kimtandao lakini hawakamatwi. Fanyeni kazi bila kubagua hakuna aliye juu ya sheria.
Hili swali hata mimi ninajiulza au kwa kuwa baba zao walikuwa viongozi ndani ya CCM na serikalini ? makosa wanayoyafanya hayana tofauti na wengine waliopo magerezani.
 
Mnafanya kazi kwa mihemuko ya kisiasa isiyo na kichwa wala miguu. Huko mtwara mmemkamata mwanamke kwa kuvaa dera la Chadema. Huko Manyara mmekamata watu kwa kusherehekea mpaka sasa hatujasikia kuwapeleka mahakamani.

Lakini hawa watoto wa vigogo wanadhihaki kifo cha hayati JPM na kusherehekea wazi kabisa kitendo ambacho ni kosa la kimtandao lakini hawakamatwi. Fanyeni kazi bila kubagua hakuna aliye juu ya sheria.
Mkuu umekula like yangu...sikutegemea NI wewe....[emoji122][emoji122]
 
Mnafanya kazi kwa mihemuko ya kisiasa isiyo na kichwa wala miguu. Huko mtwara mmemkamata mwanamke kwa kuvaa dera la Chadema. Huko Manyara mmekamata watu kwa kusherehekea mpaka sasa hatujasikia kuwapeleka mahakamani.

Lakini hawa watoto wa vigogo wanadhihaki kifo cha hayati JPM na kusherehekea wazi kabisa kitendo ambacho ni kosa la kimtandao lakini hawakamatwi. Fanyeni kazi bila kubagua hakuna aliye juu ya sheria.
Wana kosa gani mpaka wakamatwe?
 
Kwenda zako huko, ukiwa mtu wa sisitimu ndio ukifanya kosa usikamatwe?
Yaweke hayo matusi yao hapa ili tusioyafahamu tuyasome na kuyapima Kama Kuna vifungu vya Sheria vimevunjwa! Pia hata wewe unaweza kwenda mahakamani kuwafungulia maahtaka bila msaada wa polisi! Chagua mojawapo Kati ya hayo but option ya pili itakufaa zaidi.
 
Hao ni akili kubwa wajuzi wa sheria. wanajua wanaposti nini katika angle ya kisheria.wakienda mahakamani wanashinda Kama anavyoshinda Tundu Lissu umaarufu miongoni mwa watanzania unapanda.kamata Kanata za mihemuko inafanya kazi kwa wanyonge + masikini Kama hao.
Si jambo jema kusherekea kifo
RIP Rais dk JPM.
 
Unajua dress code ya msiba au unakimbilia matusi tu.

Hata kama unamchukia mtu akishakufa hakuna sababu ya kushangilia
Hiyo dress code ya msiba ni kwa watu/dini gani? Mbona wengine huenda na ngoma na pombe kwenye misiba ya wapendwa wao na hawakamatwi?
 
Back
Top Bottom