Mkuuu...jamani mkiona mnashindwana Muachane kwa Amani... Mwanamke kuwa na mauzi mpaka ukamkata mkono...hayo mauzi yanaondoka na huo mkono?Mkuu tukio hilo ni lakulaani na kumuomnba Mungu akupe mwisho mwema. Lakini usithubutu kumuhukumu/ kumtukana wala kumdarau jamaa mana mambo ya kumdhuru mtu ni kidogo sana. Wanawake wana maudhi mengi na ukizingatia alikuwa mfanya kazi na walikuwa wakiishi mbali mbali. Ko sema machache mkuu.
Mkuuu...jamani mkiona mnashindwana Muachane kwa Amani... Mwanamke kuwa na mauzi mpaka ukamkata mkono...hayo mauzi yanaondoka na huo mkono?
Je wanaume Kufanya Kama hayo...nao wakatwe mikono...tuseme wanaume wana mauzi ?..
Hakuna hoja ya kutetea huu upuuzi
Solution ya yako inahitilafu Wala Sio solution ya wivu...Umesema Ukweli mtupu Mkuu na hongera sana tu. Bado nawahusia 'Madume' wenzangu Dawa ya Kuachana na 'Wivu' ni kuwa na 'Mademu' kibao.
Mkuu, yote yale yale kuwa na wivu au mahawara vina nafasi sawa ya kuweza kusababisha ugomvi, majeraha na hata kifo. Hili unalosema limetokana na wivu lakini yapo mengi huko nyuma yaliyotokana na kuwa na mahawara, mfano mahawara kugombana wenyewe kwa wenyewe, n. kKila Siku nawaambieni hapa 'tuigeni' Sisi wenye 'Mahawara' kila eneo huwezi kutukuta na 'Mawivu' haya ya 'Kipumbavu' kwani tumejitosheleza nao.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Asante mkuu, ngoja nikwende
Mapenzi ni upofuMkuuu...jamani mkiona mnashindwana Muachane kwa Amani... Mwanamke kuwa na mauzi mpaka ukamkata mkono...hayo mauzi yanaondoka na huo mkono?
Je wanaume Kufanya Kama hayo...nao wakatwe mikono...tuseme wanaume wana mauzi ?..
Hakuna hoja ya kutetea huu upuuzi
Mkuu hatutetei maovu ila swala lakumdhuru mtu huwa linakuja automatically kutokana na malimbikizo ya chuki kwa muda mrefu. Ko unajikuta ushafanya tu afu ndo unaanza kujuta. Ukiwa mkubwa utanielewa zaidi. Usitukane mamba hujavuka mto..haya majumba yana mengi sana jamanMkuuu...jamani mkiona mnashindwana Muachane kwa Amani... Mwanamke kuwa na mauzi mpaka ukamkata mkono...hayo mauzi yanaondoka na huo mkono?
Je wanaume Kufanya Kama hayo...nao wakatwe mikono...tuseme wanaume wana mauzi ?..
Hakuna hoja ya kutetea huu upuuzi
Sawa...Mkuu nikiwa mkuubwa sitaki kudhuru Watu Kisha kujutia. Mungu anijaalie Busara na hekima kwenye kuyaendea mamboMkuu hatutetei maovu ila swala lakumdhuru mtu huwa linakuja automatically kutokana na malimbikizo ya chuki kwa muda mrefu. Ko unajikuta ushafanya tu afu ndo unaanza kujuta. Ukiwa mkubwa utanielewa zaidi. Usitukane mamba hujavuka mto..haya majumba yana mengi sana jaman
ππππMkuu, sisi tunasave tu, siku ukija na ki uzi Cha kulia Lia humu kuhusu mapenzi tutakukumbusha tu.