Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
huu ndio upuuzi wa timu za jeshiHawa wasenge wanacheza faulo nahisi ni conspiracy ili kupata majeruhi ili ku reduce idadi ya magoli
Wanafanya hivi sio kwa ajili ya mechi ya leo, ni ile ya julai 3huu ndio upuuzi wa timu za jeshi
Si wanadanganywa na wachambuzi takataka eti ukicheza na Simba unatakiwa kuwapa tafu game kwa kuwagonga gonga sana wao ndio wanafuati huo ushauri wa kipuuzi.Hawa wasenge wanacheza faulo nahisi ni conspiracy ili kupata majeruhi ili ku reduce idadi ya magoli julai 3
Kuweka kumbukumbu sawa, ile ya goli tatu ambayo simba alishinda ulitabiri simba anafungwa
Wachambuzi wana elements za mzee mpiliSi wanadanganywa na wachambuzi takataka eti ukicheza na Simba unatakiwa kuwapa tafu game kwa kuwagonga gonga sana wao ndio wanafuati huo ushauri wa kipuuzi.
Huu upuuzi sijui nani aliwaaminisha watu!! Na Refarii leo asiwe mzito kuwalima Kadi hawa Wapuuzi maana wamedhamiria kuja kucheza rafu za makusudi!!Si wanadanganywa na wachambuzi takataka eti ukicheza na Simba unatakiwa kuwapa tafu game kwa kuwagonga gonga sana wao ndio wanafuati huo ushauri wa kipuuzi.
Ni hawa wachambuzi takataka ndio chanzo cha yote haya alafu timu ndio zimeamini kuwa hiyo ndio njia pekee ya kuwazuia simba.Huu upuuzi sijui nani aliwaaminisha watu!! Na Refarii leo asiwe mzito kuwalima Kadi hawa Wapuuzi maana wamedhamiria kuja kucheza rafu za makusudi!!