Polisi: Tunamshikilia Franco Ruhinda, hajatekwa

Polisi: Tunamshikilia Franco Ruhinda, hajatekwa

Wahaya wa sasa wengi matapeli, baba na babu zao walijikita katika usomi, hawa wa sasa wanataka maisha rahisi
 
Yaani nilipoona jina la kihaya tu, nikajua lazima atakuwa tapeli. Chadema wamekithiri kwa habari za uongo
Endelea kulea watoto wote wa tano wa ndoa ukidhani ni wako hadi ulupoenda kupima dna na kuthibibitika wote wa Mbowe.
 
Yaani nilipoona jina la kihaya tu, nikajua lazima atakuwa tapeli. Chadema wamekithiri kwa habari za uongo
Tapeli mara nyingi ni watu wenye akili sana kuwazidi maboya wanaowatapeli........ni kweli wahaya nao wako na akili sana????
 
Wakati anakamatwa alipewa haki ya kujulisha Familia, Mwanasheria, Balozi, n.k ?

Kama hakupewa haki hizo basi Alitekwa.
nadhani alietoa Taarifa za kutekwa ndio aliekua nae. Baada ya mwenzie kukamatwa mbele yaka, yeye akaona ili avutie huruma ya wadau azushe kwamba mwenzie katekwa 🐒
 
Sawa Jeshi la Polisi mtu mkimkamata mpelekeni mahakamani kwa tuhuma zinazomkabili mtaendelea kupata hizi tuhuma kwa mfumo huu wa kizamani mnaotumia yaani mnamkamata mtu bila kutoa taarifa watu wakihoji mnajitokeza akipotea kweli nanyi mnajifanya kumtafuta kazi ipo hapo..
Jeshi letu lijotahidi kukamata mtu baada ya kukusanya ushahidi wa kutosha kumpeleka mahakamani. Tupunguze hii mambo ya tunamshikilia uchunguzi ukikamilika tutampeleka mahakamani.
Haya mambo ya kukamata watu kabla uchunguzi haujakamilika yanamkera sana mama yetu Samia. Polisi badilikeni.
Naunga mkono hoja...
 
View attachment 3143852

Kuna taarifa zinazotengenezwa na kusambazwa katika makundi sogozi yenye nia ya kudanganya ili kuleta taharuki kwa umma kumhusu Franco Kashaija Ruhinda kuwa haijulikani alipo toka alipowasili nchini akitokea Dubai.

Jeshi la Polisi lingependa kutoa taarifa kuwa Franco Kashaija Ruhinda alikamatwa alipowasili nchini Novemba 3,2024 kwa tuhuma za kujihusisha na Uhalifu wa kupanga na bado anaendelea kushikiliwa na Jeshi la Polisi ili kukamilisha yaliyokuwa yamesalia katika uchunguzi ili hatua zingine za kisheria zifuate.

Imetolewa na:
David A. Misime - DCP Msemaji wa Jeshi la Polisi Dodoma, Tanzania.
View attachment 3143855View attachment 3143856
Endapo kama mtu huyo wakati alipokamatwa na Jeshi la Polisi alikuwa hakupewa haki yake ya kuwasiliana na ndugu zake, jamaa zake au Mwanasheria wake na/au Uongozi wa Serikali ya Mtaa anakoishi hawakupewa taarifa, Moja kwa Moja inatafsirika kwamba ALITEKWA.
Final and Conclusive!

Endapo kama Jeshi la Polisi linakataa kwamba mtu huyo hakutekwa (not abducted) Bali alikamatwa na kuwekwa kizuizini (arrested) Basi linapaswa liweke wazi Ushahidi wote kabisa kwa umma ili kuthibitisha madai yao hayo. Jeshi la Polisi linapaswa liweke wazi na litaje majina ya ndugu au jamaa za mtuhumiwa huyo, vyeo vya maafisa wa Serikali ya Mtaa au taasisi yoyote ile na/au Namba za simu za watu hao ambao Jeshi la Polisi liliwasiliana nao kwa kuwapa taarifa wakati 'walipomkamata' mtuhumiwa huyo.

In short, Je, Jeshi la Polisi lilitoa taarifa kwa akina nani wakati 'walipomkamata' mtu huyo?? Je, mtuhumiwa huyo alipatiwa haki zake za Msingi za kuwasiliana na ndugu zake wakati 'alipokamatwa' na Jeshi hilo la Polisi??

Mwisho:
Ni kweli kabisa kwamba Tanzania kuna Watu wajinga wengi Sana, lakini siyo kweli hata kidogo kwamba Watanzania wote kabisa ni Watu Wajinga.
 
Yaani nilipoona jina la kihaya tu, nikajua lazima atakuwa tapeli. Chadema wamekithiri kwa habari za uongo
Huyu Mnyambo si Mhaya. Uzuri ni CCM na aliweka nia jimbo la Karagwe ila akaliwa kichwa
 
Franco.jpg
 
Back
Top Bottom