HIMARS
JF-Expert Member
- Jan 23, 2012
- 70,791
- 98,334
Mayweather je?Wenye clean money huwa hawana ushamba wake wako kimya with no show off.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mayweather je?Wenye clean money huwa hawana ushamba wake wako kimya with no show off.
Mwaka jana mwshoni wameshitakiwa 80 wote kutokea NigeriaMbwembwe hizo za mtandaoni ndio ofisi yenyewe mkuu, ilikuwa kwa ajili ya kuwavuta na kushawishi wateja.by the way haya majamaa ya Africa magharibi yako smart sana kichwani shida ni majizi.
Hadi hapo hana chochoteWamnyang'anye mali zake zote na apigwe nyundo(mvua) 30 (Miaka 20 straight).
Anapelekwa USASheria za Dubai zipo laini sana.
AlikuwaNimemuona..si kwa gari zile na brands kubwa duniani..jamaa anaishi Jamani.
[emoji23][emoji23][emoji23] Sometimes i wonder most of the tanzanians are poor and foolish people, you are jumping up and down with joy because of someone's downfall, whereas your life is full of downfall and setbacks, i usually ask myself a poor person, an ordinary tanzanian citizen, get extremely happy because of a rich man's downfall....its amazingSafi Sana mali zake wazitaifishe tu maana ni za dhulumu.
Sheria za Dubai zipo laini sana.
Mshamba tu na yeye wa ki Black's billgates na hela zake Yuko simple Sana.Mayweather je?
Ila ni so smart Hawa people na ni hustlers imagine hela alizopigaScammers wengi ni Wanaija
Wewe unaangalia pesa tu?Uko vizuri sana kuelezea utajiri, rise and fall ya tajiri, je jiuize wewe unafaidika nini kuelezea rise and fall of billionaire, akaunti yako imeongezeka pesa?
Nimeuliza na nimejibiwa.Uwe wahakiki habari google kabla ya kulalamika
Kuna story nilisoma Insta kuna jamaa Bongo alikua anatumia picha za Hush kudakia wadada,Shikamoo tapeli hush, wewe ni kiboko umewaliza wengi, I think matapeli ni watu smart, sema u smart wao wanautumia in negative way.
Sio suala la watu masikini kushangilia anguko la tajiri...bali ni watu kufurahia kukamatwa kwa JAMBAZI ambaye yamkini siku moja angeweza kudhuru jamii inayowazungunka kwa namna moja au nyingine.[emoji23][emoji23][emoji23] Sometimes i wonder most of the tanzanians are poor and foolish people, you are jumping up and down with joy because of someone's downfall, whereas your life is full of downfall and setbacks, i usually ask myself a poor person, an ordinary tanzanian citizen, get extremely happy because of a rich man's downfall....its amazing
Hahaaa watu hatari aisee watu wanatumia fursa vizuriKuna story nilisoma Insta kuna jamaa Bongo alikua anatumia picha za Hush kudakia wadada,
sasa mambo yakaanza kubumburuka ndo wadada kumdm Chaumbea moja Insta
Ndio Lucifer amekufundisha kujibu watu hivi?Uko vizuri sana kuelezea utajiri, rise and fall ya tajiri, je jiuize wewe unafaidika nini kuelezea rise and fall of billionaire, akaunti yako imeongezeka pesa?
What is your point?...remember this dude was a scammer, so everyone is happy for his downfall![emoji23][emoji23][emoji23] Sometimes i wonder most of the tanzanians are poor and foolish people, you are jumping up and down with joy because of someone's downfall, whereas your life is full of downfall and setbacks, i usually ask myself a poor person, an ordinary tanzanian citizen, get extremely happy because of a rich man's downfall....its amazing
Sawa wakuu endeleeni kushangilia.Sio suala la watu masikini kushangilia anguko la tajiri...bali ni watu kufurahia kukamatwa kwa JAMBAZI ambaye yamkini siku moja angeweza kudhuru jamii inayowazungunka kwa namna moja au nyingine.
Mtu kuwa tajiri ni sawa na heri pia, tatizo ni pale huo utajiri unapokuwa umepatikana kwa kuumiza, kuua au kutaabisha binadamu wengine.
Hilo ni jambo la kukemea na pia kushangilia endapo tajiri wa namna hiyo ataanguka.
Nikose raha kwa ajili ya wapuuzi, bali nashangaa wapuuzi wanaofurahia kuanguka kwa bilionea, an ordinary citizen, bili ya maji inamsubiri, umeme, kodi ya nyumba, ada za watoto,,chakula nyumbani mke na watoto wavae, waende hospital wakiumwa, huo muda wa kushangilia bilionea ameanguka unaupata wapi na unafaidika niniMkuu Billions vipi una masihari yoyote Kama hili? maana naona kama haufurahishwi na wadau kufurahia kukamatwa ya tapeli.