Unaposema huku kuna mashetani nashindwa kujua kama upo sahihi. Hivi chanzo cha hayo maandamano na machafuko ni nini kama sio huohuo ushetani wa hao polisi unaotaka kuwasifia? Halafu kumbuka hao polisi wa Marekani hawajafanya tukio moja tu la wiki iliyopita, wamefanya matukio mengi sana yanayowaumiza watu weusi. Unaweza pia kurejea kauli za Rais Trump kwenye vifo vya Corona jinsi zinavyoonyesha ubaguzi waziwazi.
wengine walienda kuiba tu wapate kula kwao kwasiku kadhaa njaa zimewaelemea maandamano yalikua kama sababu tu.....Uchungu ni wa race zote thus wote wameshiriki kutoa hisia zao.Hata ukisoma Twitter,fb ,na others social media za race zingine karibu zote duniani wamelaani mauaji hayo.We are global village.Hata Kama ameuliwa mchina,mhindi,nk stiil we are global village
Mbona koyuzeka Mbochi [emoji23][emoji23][emoji23]... kwani Trump ndio kamtuma yule askari kuua?
Tatizo la Marekani ni ubaguzi wa rangi, wanaita mtu mweusi nyani, ila hata Wewe kuwaita mabeberu ni ubaguzi pia! Sema tu Nyani haoni kundule!!Hao ni Mabeberu wametesa sana mtu mweusi
Umeona mbali[emoji848]Mbona upigaji goti wao ndio style iliyotumiwa kumuu George!!
Hiyo ni danganya toto hapo wametoa ujumbe kuwa ngoma iko palepale.
Jiwe hajawahi kupona ai see! Mgonjwa wa akili yuleKama jiwe anavyowatesa wapinzani.