Polisi wa Tanzania ni wazuri sana! Elezea kwa mifano

Mmoja akioza wote wameoza hawafai hata kidogo hao watu hawana ubinadam.
Mimi sioni jema hata moja kwa hao viumbe.
 
Ni pale aliponiambia" My friend,you are not my friend" pale nilipotaka tuyamalize nje ya kituo.

Nikajua polisi waaminifu wapo bado.
 
Kama 20% ni waungwana; akikukuta na kosa ana kuelimisha na Kukushauri cha kufanya. Ukikutana na mtu wa hivi lazima ujitahidi asikukamate na hilo kosa tena
 
Comment ya 52 na bado hakuja ushuhuda wa mazuri ya polisi
 
Ukijiona wewe ni nunda ,msomi,mjuaji na mwenye dharau utakutana na wenye kukuzidi ulichonacho..
Kwa ufupi hata ushirikina hauna nafasi.....
 
A good Police Officer is ONLY the dead Police Officer!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…