Consultant
JF-Expert Member
- Jun 15, 2008
- 11,503
- 20,892
Terror squad kazini. Wasiojulikana wanajulikana na kulindwa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kamanda wa Polisi mkoa wa Kipolisi Kinondoni asema hana taarifa za kukamatwa na kushikiliwa kwa mwanaharakati,Tito Magoti
Awali Kamanda Lazaro Mambosasa aliuthibitisha Umma kwamba Magoti alikamatwa Mwenge wilayani Kinondoni
Zaidi, soma:
View attachment 1301209Mwanasheria Tito Magoti wa LHRC achukuliwa na watu wasiojulikana; Polisi wasema wanamhoji na wenzake 3
Tito ambaye ni Mfanyakazi wa Kituo cha Sheria na Haki za Binadamu (LHRC) inadaiwa ametekwa maeneo ya Mwenge, Jijini Dar Yaelezwa amechukuliwa na watu 5 waliovalia kiraia ambao walimfunga pingu kabla ya kuondoka naye Watu hao walikuwa kwenye gari aina ya Harrier. Taarifa za awali kuhusu...www.jamiiforums.com
View attachment 1301208
Na mimi nahisi hivyo, aidha ndio bai bai au amepigwa sana wanashindwa kumtoaMpaka tutekwe wote ndio tutajua umuhimu wa kuungana kama Taifa kupinga huu udhalimu.
Naanza kupata mashaka kama Tito bado tunae na kama tunae,basi sijui atakuwa katika hali gani.
Ukiona hivi, uje kuna mawawili:wamemtanguliza au wamemuumiza na kumjeruhi vibaya kiasi kwamba hawako tayari kuhusishwa/kutuhumiwa na hivyo tutarajie kumuokota akiwa kama Dr.Ulimboka.
Atasema " NIMENUKULIWA VIBAYA"Wamuekee ile clip,halafu wamuulize anayezyngumza ni Mambosasa ama fake toka China?!!
Hata suala na Ben Saanane inaweza ikawa hivyo hivyo. Wakishakutesa wakaona umetepa au unaweza kuwafia wanakupoteza kabisa.Mpaka tutekwe wote ndio tutajua umuhimu wa kuungana kama Taifa kupinga huu udhalimu.
Naanza kupata mashaka kama Tito bado tunae na kama tunae,basi sijui atakuwa katika hali gani.
Ukiona hivi, uje kuna mawawili:wamemtanguliza au wamemuumiza na kumjeruhi vibaya kiasi kwamba hawako tayari kuhusishwa/kutuhumiwa na hivyo tutarajie kumuokota akiwa kama Dr.Ulimboka.
Hivi hawa watu wafanyao hivi wanafanya kwa niaba ya nani? Jee huyo anayewatuma SIO ADUI WA TAIFA HUYO?Mpaka tutekwe wote ndio tutajua umuhimu wa kuungana kama Taifa kupinga huu udhalimu.
Naanza kupata mashaka kama Tito bado tunae na kama tunae,basi sijui atakuwa katika hali gani.
Ukiona hivi, uje kuna mawawili:wamemtanguliza au wamemuumiza na kumjeruhi vibaya kiasi kwamba hawako tayari kuhusishwa/kutuhumiwa na hivyo tutarajie kumuokota akiwa kama Dr.Ulimboka.