Polisi wabadili gia angani, Wanadai hawajui alipo Mfanyakazi wa LHRC Tito Magoti

Polisi wabadili gia angani, Wanadai hawajui alipo Mfanyakazi wa LHRC Tito Magoti

Mambosasa na genge lake wamemteka Tito, ndio maana wenzake wameanza kumruka.
Pengine Kamanda ameshindwa kujibu swali kwa kuwa yeye sio msemaji wa Jeshi la Polisi au hawezi kusema kwa kuwa suala hilo liko juu ya mamlaka yake kiusemaji.
 
Inashangaza kuona matukio yote haya yanaendelea kutokea, lakini viongozi wa ngazi za juu wapo kimya kama vile hawapo nchini au hawaoni chochote!

Yaani mambo yaliyokuwa yakitokea Rwanda na Burundi, ndiyo yamekuwa kama ya kawaida tu nchini mwetu kwa sasa!
Hakuna anayekemea haya mambo ya kishamba ya kutekana, hatuoni tume huru ya uchunguzi ikianzishwa ili kuwatambua hawa watu wasiojulikana! Kweli awamu hii tumepatikana.
 
Swali la kujiuliza kabla ya kuanza kumlaumu nani au yupi kafanya nini ni hili "Kwanini waandishi wa habari wamemuuliza swali mtu mwingine ambaye hakuhusika na taarifa za kukamatwa kwa mhusika?
Nashauri kabla ya kuanza kulaumu yeyote,ni vema LHRC/mwajili wa mhusika kwa pamoja na ndugu wa familia wakafuatulia taarifa rasmi kwa mhusika aliyetoa taarifa za awali kuwa wanamshikilia mhusika anayedaiwa kupotea.
Tatizo liko wapi? Mambosasa kazu gumza kwa niaba ya jeshi la polisi. Huyo RPC wa Kinondoni kanusho lake ni upumbavu mtupu, maana wa kwanza kutoa tamko ni boss wake hivyo ndio aliye sahihi kuwa kakamatwa kinondoni na hata kama kapelekwa Kigamboni bado ofisi ya RPC Kinondoni lazima inataarifa kama hajui ni uzembe wake tuu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sina hakika kama huwa tunafanya reasoning kabla ya kufikia conclusion. Aliyekiri kwamba huyo Tito kakamatwa na polisi ni Kamanda wa kanda maalum ya Dar es salaam. Sasa mtu unaenda kumuuliza RPC wa Kinondoni halafu anakumbia hana taarifa hizo kisha mbio mbio unakuja kubandika bandiko hapa kuwa polisi imekanusha. Hivi RPC wa Kinondoni anajua yanayofanyika na vikosi vya kanda maalum? Hivi RPC wa kinondoni anajua yanayofanyika Central Police? Hivi RPC wa Kinondoni anajua yanayofanyika Temeke? Hivi RPC wa Kinondoni anajua yanayofanyika Ilala? Kwa nini hatupendi kwenda extra mile kuwa kwa sababu wa Kinondoni hajui basi tumuulize wa Temeke, wa Ilala na tukishindwa basi turudi kwa Mambosasa ambaye ndiye mwenye utawala katika mikoa yote mitatu ya kipolisi. Mtu kukamatwa Mwenge siyo lazima awe amepelekwa kwenye vituo vya polisi Kinondoni tena hasa kama waliohusika na kumkamata ni polisi wanaofanya kazi katika mikoa yote mitatu, yaani kanda maalumu.
 
Tatizo liko wapi? Mambosasa kazu gumza kwa niaba ya jeshi la polisi. Huyo RPC wa Kinondoni kanusho lake ni upumbavu mtupu, maana wa kwanza kutoa tamko ni boss wake hivyo ndio aliye sahihi kuwa kakamatwa kinondoni na hata kama kapelekwa Kigamboni bado ofisi ya RPC Kinondoni lazima inataarifa kama hajui ni uzembe wake tuu

Sent using Jamii Forums mobile app
Unajua utofauti wa Kimadaraka kati ya RPC Mambosasa na RPC wa Kinondoni? Unaijua mipaka yao ya ufanyaji kazi?
 
Labda kesha fariki wakati wa mahojiano hivyo wanaona njia sahihi ni kusema hawafahamu aliko wakiandaa namna bora kuikabili familia, ofisi yake na umma kwa ujumla.
... duu! inatia huzuni sana wakumbuke famili yake na watanzania wema wanahangaika kila siku kujua uzima wa ndg yetu...walaaniwe wote wanaotesa mwanadamu mwenzao
 
Sasa ninasema inatosha asipopatikana Magoti kufikia kesho, basi nitakufa na mtu.
 
... duu! inatia huzuni sana wakumbuke famili yake na watanzania wema wanahangaika kila siku kujua uzima wa ndg yetu...walaaniwe wote wanaotesa mwanadamu mwenzao
Dunia ni jela, kuna wababe wanaotumia wengine na kuna wanyonge wanaotumiwa.
Cha msingi ni kutafuta namna bora usitumike na yeyote yule.

Polisi na majeshi ni tools za viongozi kutawala, na vyombo vya kulinda usalama wa watawala siyo usalama wa raia.

Hivyo ukiweza kaa mbali na vyombo vya dola, hakikisha haugusani nao kwa namna yoyote ile, wao ni vibaraka wa watawala, kukuumiza wewe ili watawala wawesalama Hanoi shida, ni sehemu ya majukumu yao.
 
Sina hakika kama huwa tunafanya reasoning kabla ya kufikia conclusion. Aliyekiri kwamba huyo Tito kakamatwa na polisi ni Kamanda wa kanda maalum ya Dar es salaam. Sasa mtu unaenda kumuuliza RPC wa Kinondoni halafu anakumbia hana taarifa hizo kisha mbio mbio unakuja kubandika bandiko hapa kuwa polisi imekanusha. Hivi RPC wa Kinondoni anajua yanayofanyika na vikosi vya kanda maalum? Hivi RPC wa kinondoni anajua yanayofanyika Central Police? Hivi RPC wa Kinondoni anajua yanayofanyika Temeke? Hivi RPC wa Kinondoni anajua yanayofanyika Ilala? Kwa nini hatupendi kwenda extra mile kuwa kwa sababu wa Kinondoni hajui basi tumuulize wa Temeke, wa Ilala na tukishindwa basi turudi kwa Mambosasa ambaye ndiye mwenye utawala katika mikoa yote mitatu ya kipolisi. Mtu kukamatwa Mwenge siyo lazima awe amepelekwa kwenye vituo vya polisi Kinondoni tena hasa kama waliohusika na kumkamata ni polisi wanaofanya kazi katika mikoa yote mitatu, yaani kanda maalumu.
Wewe ndio hi reason, kana hajui unadhani Askari wake wa kinondoni wasipofahamu wakiingilia operation kwa kuwarushia risasi Askari wenzao itakuwaje,!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
afu huyu wa konondoni anampinga IGP, nini hapa kinaendelea... wasituwekee weusi naona wanahamu hawajaona maandamano siku nyingi... nadhani wanatafuta yasiyobebeka
 
Sijaona utata wowote ... naona mwandishi ama mtu aliyeanzisha huu uzi ndio ana lengo lake aidha kupotosha ama hajaelewa ... maana kamanda wa kinondoni kasema kabisa yeye hana taarifa na ya kuwa kamanda mambosasa hawajibiki kumpa taarifa yeye .. na ya kuwa kuna operation nyingine ni za siri ... sasa mpaka hapo mlitaka aseme nini?
 
Inashangaza kuona matukio yote haya yanaendelea kutokea, lakini viongozi wa ngazi za juu wapo kimya kama vile hawapo nchini au hawaoni chochote!

Yaani mambo yaliyokuwa yakitokea Rwanda na Burundi, ndiyo yamekuwa kama ya kawaida tu nchini mwetu kwa sasa!
Hakuna anayekemea haya mambo ya kishamba ya kutekana, hatuoni tume huru ya uchunguzi ikianzishwa ili kuwatambua hawa watu wasiojulikana! Kweli awamu hii tumepatikana.
Nashangaa watu wanahangaika, na wakati Mamboleo kasema wanae polisi, na wala hajatekwa, tena anashikiliwa kwa kosa la jinai na wenzake watatu. Badala yake watu wanajiendea kinondoni kuuliza kwa watu wengine wakati Mamboleo keshaeleza kila kitu kuwa msihangaike.
 
Kamanda wa Polisi mkoa wa Kipolisi Kinondoni asema hana taarifa za kukamatwa na kushikiliwa kwa mwanaharakati,Tito Magoti

Mussa Taibu amesema kuwa mpaka sasa hana taarifa ya kukamatwa kwa Ofisa wa Kituo cha Sheria na Haki za Binadamu [LHRC] Tito Magoti, katika eneo la himaya yake na hata amejaribu kuwauliza wenzake lakini nao hawana taarifa hizo.

Awali Kamanda Lazaro Mambosasa aliuthibitisha Umma kwamba Magoti alikamatwa Mwenge wilayani Kinondoni

Taarifa za awali kuhusu kutekwa kwa Tito Magoti ni kuwa alikuwa katika bodaboda akielekea Mwenge kununua simu, alipofika katika kituo cha mafuta cha Puma watu 5 waliokuwa na gari aina ya Harrier walimchukua kwa mabavu kisha kuondoka kwa uelekeo wa Posta, Dar es Salaam.

Jana Kamanda wa Polisi wa Kanda ya Dar, Lazaro Mambosasa amekaririwa akisema Polisi inamshikiliwa Magoti na wenzake watatu kwa uchunguzi wa tuhuma za makosa ya jinai inayowakabilia.

Hata hivyo, Mambosasa hajawahi kubainisha ni kituo gani ambacho Magoti anashikiliwa.

Zaidi, soma:

View attachment 1301209
View attachment 1301208
HAKI YA NANI HII KITU INATIA HASIRA HADI BASI,KUMBE NDO MAANA WATU WANAJITOA MUHANGA KATIKA NCHI ZAO,HUU UPUMBAVU WA POLISI UMEVUKA KIWANGO AISEE
 
Back
Top Bottom