euca
JF-Expert Member
- Apr 6, 2015
- 3,811
- 4,178
Jamaa amekanusha ndani ya mkoa wake wa KINO sasa Sijui hyo mikoa iliyobaki ya Mambosasa labda jamaa Atakuwa huko
Sent using Jamii Forums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Jamaa amekanusha ndani ya mkoa wake wa KINO sasa Sijui hyo mikoa iliyobaki ya Mambosasa labda jamaa Atakuwa huko
Na nadhani hawa viumbe wawili hawaelewani. Huyo wa kinondoni ajiandae kwenda benchi makao makuu kusoma magazeti mamboleo na muroto ni vipenzi wa mukuluItafikia muda kutakuwa na makundi ndani ya jeshi la police
Mambosasa anajimwambafy halafu anataka kuangushia jumba bovu wenzake lakini amestukiwaKuna tatizo kubwa ndani ya "Deshi" la Polisi! Huyu mmoja ni Team Sirro na Mambo sasa ana timu yake pia
Sent using Jamii Forums mobile app
mbona Tayari mkuu !Itafikia muda kutakuwa na makundi ndani ya jeshi la police
Vita vya panzi furaha yetu kunguru
Sijaona utata wowote ... naona mwandishi ama mtu aliyeanzisha huu uzi ndio ana lengo lake aidha kupotosha ama hajaelewa ... maana kamanda wa kinondoni kasema kabisa yeye hana taarifa na ya kuwa kamanda mambosasa hawajibiki kumpa taarifa yeye .. na ya kuwa kuna operation nyingine ni za siri ... sasa mpaka hapo mlitaka aseme nini?
Na iwe hivyo! Oh that would be really great 🙂
[emoji52][emoji52][emoji52][emoji52]azori gwanda
ben saanane
tito magoti
DUNIANI HAWAPO, MBINGUNI NAKO HAWAJATHIBITISHWA
Mkuu @Bollen Ngeti nae wanamshikilia?!,nimezimisi sana makala zake kule fbNilivyomuelewa kamanda wa kinondoni ni kwamba yeye kama yeye kwenye mkoa wake hajamshika Tito ila kuna Operation zinawezwa kufanywa na mkuu wa kanda nzima na yeye asipewa taarifa kwa mantiki hiyo Mambosasa na BASHITE ndio wamemkamata Tito/Bolleni ukiunganisha nukta.
Hivi Ulimboka alipotelea wapi? Roma yeye anasemaje kuhusu masahibu yake na kwanini Makonda (Bashite) huwa anajishughulisha na watu wanaotekwa?Mpaka tutekwe wote ndio tutajua umuhimu wa kuungana kama Taifa kupinga huu udhalimu.
Naanza kupata mashaka kama Tito bado tunae na kama tunae,basi sijui atakuwa katika hali gani.
Ukiona hivi, ujue kuna uwezekana wa mambo mawawili:wamemtanguliza au wamemuumiza na kumjeruhi vibaya kiasi kwamba hawako tayari kuhusishwa/kutuhumiwa na hivyo tunaweza kumuokota akiwa kama Dr.Ulimboka.
Yes Katekwa....Bashite na genge lake la wahuni sijui wanataka nini aiseee.Mkuu @Bollen Ngeti nae wanamshikilia?!,nimezimisi sana makala zake kule fb
Sent using Jamii Forums mobile app
Na yeye Kigwaji hahaaaWamuekee ile clip,halafu wamuulize anayezyngumza ni Mambosasa ama fake toka China?!!
Duh hatari sanaWamuekee ile clip,halafu wamuulize anayezyngumza ni Mambosasa ama fake toka China?!!