Polisi wabadili gia angani, Wanadai hawajui alipo Mfanyakazi wa LHRC Tito Magoti

Polisi wabadili gia angani, Wanadai hawajui alipo Mfanyakazi wa LHRC Tito Magoti

Waandishi wa habari mnashindwa wapi?
Aliyesema Magoti yuko mikono salama kwani anaishi mbinguni? Kwanini muende Kinondoni badala ya kumganda Mambosasa aseme Magoti yuko wapi au kituo kipi? Kwanini mnazunguka zunguka?
Sahihi kabisa wanazunguka nini wapige kambi kwa mambokale mpaka kieleweke,awaonyeshe aliko
 
Magu ashafanya yake. Its obvious walimteka, alikua bado mzima wakasema wanaye coz walijua watamuachia, sasa sijui kapigwa hadi kafa wanabadili gia angani kua hawajui alipo. Watanzania mnachezewa mchana kweupe alafu mnachekelea, sijawahi ona nchi imejaa vilaza kama bongo. Democratic nation my ass.
 
Kwa tulipofikia wanaojipenda wote wamefunga midomo Yao. Jamani someni nyakati ile style aliyotumia kwenye post zake Kule Twitter kuhusu mikopo sio ya zama hizi. Kwani angetumia lugha isiyo ya kuudhi angepungua eeh??
 
Kwa tulipofikia wanaojipenda wote wamefunga midomo Yao. Jamani someni nyakati ile style aliyotumia kwenye post zake Kule Twitter kuhusu mikopo sio ya zama hizi. Kwani angetumia lugha isiyo ya kuudhi angepungua eeh??
Unaweza ukaiweka hapa hiyo tweet halafu tuone ya zama zipi?Acha uoga WAJINGA SISI.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hahaha Makamu mwenyekiti wa CHADEMA asithubutu, kutia mguu ardhi ya Tanganyika, ataptelea airport hapo hapo.

Kwa usalama wake afuatwe na Magufuli mwenyewe amlete, otherwise asidanganywe na anaowaita marafiki zake.

ATAUWAWA this time, hawa watu uchaguzi umekaribia nao wameongeza kasi ya kuteka.
 
Hii si ishara nzuri, haiwezekani bosi wa juu athibitishe kumshikilia mtu halafu kesho yake bosi wa chini akanushe. Kuna haja ya kujua huyu bwana yupo wapi- LHRC waende mahakamani wakadai Magoti aletwe mbele ya hakimu.
Magazeti na vyombo vya habari navyo vipaze sauti zake kuhusu hili tukio....au wasiojulikana wamewapoka polisi mtuhumiwa wao?
 
Sijaona utata wowote ... naona mwandishi ama mtu aliyeanzisha huu uzi ndio ana lengo lake aidha kupotosha ama hajaelewa ... maana kamanda wa kinondoni kasema kabisa yeye hana taarifa na ya kuwa kamanda mambosasa hawajibiki kumpa taarifa yeye .. na ya kuwa kuna operation nyingine ni za siri ... sasa mpaka hapo mlitaka aseme nini?
Mkuu hilo haliwezekani, communication channels za kipolisi na kijeshi hufuata mkondo fulani labda kama mhusika wameamua kumuweka kando na ingekuwa hivyo asingekuwa officer in charge.
 
Mpaka tutekwe wote ndio tutajua umuhimu wa kuungana kama Taifa kupinga huu udhalimu.

Naanza kupata mashaka kama Tito bado tunae na kama tunae,basi sijui atakuwa katika hali gani.

Ukiona hivi, ujue kuna uwezekana wa mambo mawawili:wamemtanguliza au wamemuumiza na kumjeruhi vibaya kiasi kwamba hawako tayari kuhusishwa/kutuhumiwa na hivyo tunaweza kumuokota akiwa kama Dr.Ulimboka.

Huenda amefariki au kuumizwa sana ndio maana polisi sasa wanakanusha kumshikilia.
 
Jeshi la polisi lilimkamata Tito Magoti kwa madai eti anatumia fake I'd kuitukana serikali huku wakimhusisha na Kigogo wa Twitter pamoja na I'd ya member maarufu mkosoaji wa Jf...Cha ajabu watu waliohusishwa naye bado wapo wanapost tu...Leo wanasema hawajui alipo ili baadaye wakamtelekeze sehemu kama walivyofanya kwa Mo baada ya kumsainisha nyaraka muhimu kwa nguvu.

Huyo mkosoaji wa jf atakuwa nani? Mnakumbuka juzi jamaa anayejiita britanicca alikuja na uzi kuwa anaacha siasa? Na alikiri kuwa aliwahi kuhusika na kufuatilia wakosoaji humu mitandaoni? Na akaahidi kuendelea kuweka mambo humu ndani? Basi hapo ndio sakata lilipo.
 
Damu NI nzito KULIKO maji,watatajana tu nani Sterling wa hilo movie
 
Huyu wa pili alitakiwa aseme "sina taarifa za kukamatwa kwake...yule aliropoka tu"
 
Back
Top Bottom