Mtuhumiwa lazima gwaride la utambulisho lifanyike, mbona walihoji bila kumshirikisha mhanga?
'Mh habari za kazi'
'nzuri tu, kuna nin?
'aaaaa... Eeeeee... Karibu chai kwanza mheshimiwa'
'sina mda wa kunywa chai hapa, nambie ulichoniitia'
'Akchuale..aaa ..unajua bwana vyombo vya habari vinaandika upuuzi sana... aaaa hasa hawa mwanahalisi aaaa kuhusu hii ishu ya huyu mjinga Ulimboka.., sasaaa, sijui tunafanyaje..'
'hakuna shida, mwanahalisi nimeshaagiza lifungiwe... hao wengine waache tu waongee, si wanatumiwa na cdm?... Aaa haina shida kuna mpango tunakamilisha kuhakikisha hili suala linawageukia cdm... Watakomaje?.... Hahhahahaaa... Kuna jingine?'
'hakuna mheshimiwa sisi tunawaahidi tu kutoa ushirikiano wa hali ha juu kwa lolote mtakapotutaka tufanye kukamisha hiyo mipango yenu.... hahahhahhaaaa..asante mheshiwa, pole kwa usumbufu... si unajua tena fomalite?
'hakuna cha fomalite wewe, hizo fomalite zinafanya kazi huko kwa akina mramba na yona, sio ikulu... Kwaheri'
Ni kwa sababu hao polisi wana watuhumiwa wao kulingana na script ya movie waliyoiandaa... Ndio maana wanawakataa watuhumiwa wanaotajwa na mwathirikaMtuhumiwa lazima gwaride la utambulisho lifanyike, mbona walihoji bila kumshirikisha mhanga?
"Sisi tunapeleka mtuhumiwa mahakamani tunaporidhika kuwa ushahidi tulioupata una nguvu, na siyo kweli kwamba kila mtu anayehojiwa na polisi lazima afikishwe mahakamani," alifafanua Mngulu.
Aidha Mngulu alisema kuwa mbali ya kumhoji Ighondu, pia walimhoji wakili wa kujitegemea, Nyaronyo Kicheere, kuhusiana na suala hilohilo.
Hata hivyo, Kicheere alikanusha kuhojiwa na polisi kuhusiana na suala la Dk. Ulimboka, bali aliitwa polisi kuwasilisha tamko la kisheria (hati ya kiapo) la Dk. Ulimboka ambamo anathibitisha kuwa Ramadhan Ighondu ndiye aliyepanga na kuratibu njama zote za kutekwa na kuteswa kwake.
"Siyo kweli kwamba nimewahi kuhojiwa na polisi kuhusu suala la Dk. Ulimboka, hawajanihoji, ila niliitwa makao makuu ya polisi na nilipofika pale hawakunihoji chochote bali waliomba niwape ile hati ya kiapo ya Dk. Ulimboka ambayo niliisoma mbele ya waandishi wa habari, na pia niliwapatia cheti cha kisheria cha kuniidhinisha kuisoma hati hiyo kwa waandishi wa habari," alibainisha Kicheere na kuongeza:
"Ila nimepata taarifa kwamba polisi wamepanga kuniita tena ili nikaandikishe maelezo, kwa hiyo nawasubiri waniite rasmi, lakini nasisitiza kuwa kwa sasa polisi hawajanihoji chochote kuhusu suala hilo," alisisitiza.
Hata hivyo, wakati polisi wakidai kumhoji Ighondu, hawajawahi kumuita wala kumhoji Dk. Ulimboka ambaye ndiye shahidi namba moja na mtu pekee anayewajua bila chembe ya shaka watekaji na watesi wake
Uhami na nani weweHatuhami kwenye hoja ng'oooooo, Lwakatare featuring Ludovick in Bukoba Boys ndio habari ya mujini kwa sasa. R.I.P propaganda za kipumbavu za tz daima.
Punguza jazbapumbavu zao, uzandiki mtupu
Asilimia chache sana ya waTZ wanao jitambua, tena hasa mijini, huko vijijini bado saana, wapo watu ukiwasimulia habari ya DR ulimboka kwao watadhani ni hadithi ya alifu lela olea, kwahiyo serkali yetu ndio inajidaia watu dizine hiyoNa bado watazidi kulikoroga. damu ya Dr Uli haikumwagika bure wanafikiri Watanzania wa Leo ni mambumbumbu hawajui kuchambua habari na kuzifuatilia.
Hahahaaahaaà!!!!!
Wanajaribu kufukua mizimu ili kufukia hili la Kina Lwakatare. Mtu wa kwanza kufika Eneo la tukio alipotekwa Dkt Uli alikuwa Kijokisimba maana alikuwa anaskilizia maana alifanikiwa kwenda na Jopo la waandishi ili wampige Picha Uli akiwa eneo la Tukio, baada ya hapo aka Organise maandamano yalokosa watu Pale salenda Bridge, baadae eti akaenda Amnest Internation 'kumlilia' Dkt Uli, Msiban mafia huwa wanalia mpaka kukosa nguvu sijui kwa nn?Ukweli uliahirishwa ila haukufutwa!
Njia gani tena hiyoo?Hapa kwa kuwa intamhusu mtu wa Ikulu ni jinai. Kwa Rwakatare ni ughaidi.
Ndugu zangu hapa ni mwendelezo wa kuonyesha namna polisi wanafanya kazi ya kulinda maslahi ya watawala na wala si usalama wa raia na mali zao.
Mara elfu elfu ni afadhali tungebaki mikononi mwa Mwingereza kuliko kudanganywa uhuru halafu tunakuwa chini ya ccm - jk - genge la kimafia.
HATA HIVYO TUSIKATE TAMAA. NJIA IPO.