Polisi wadai kumhoji 'mtesaji' wa Ulimboka

Polisi wadai kumhoji 'mtesaji' wa Ulimboka

Isaya Mngulu anajaribu kutuaminisha kitu kisichokuwepo akiwa anaamini kuwa tutaelewa kama anavyotaka, lakini wakati huo huo anasahau kabisa kuwa maandishi hayapo kama maneno ambayo ni rahisi watu kuyasahau, once kitu kikiwekwa kwenye maandishi basi huwa hayafutiki milele na milele...Naamini 100% kwa umri alionao Afande Isaya na wenzake wote huko mbeleni watakuja kutoa ukweli wa yote wanayoyafanya,Ni dhuluma iliyoje kumfunga mtu mahabusu kwa kesi unayojua 100% kuwa sio mhusika? mkenya wa watu anaozea jela kwa ajili ya uongo wa mchana kweupe wa Kova? Zombe alihusika kabisa ktk mauaji ya Wafanyabiashara wa madini lakini maPolisi hao hao wakaunda kesi ya kushindwa na hivi leo Zombe yupo huru, Lwakatare issue yake ipo straight ambayo hata ukimpa sungusungu wa kwetu kijijini asiyesomea upelelezi atakwambia hii kesi haijakaa sawa kwa mashtaka lakini kwa hawa ndugu zetu wa afande Wema ni kesi ya kujibiwa,Kamwe haya hayatapita hivihivi bali siku za mbeleni watanzania watakuombeni majibu halisi na mtayatoa mtake msitake!!!
 
Swali,walikuwa wapi siku zote?

Kelele za members wa JF zimechangia kuwaamsha?

Je,wanatuzuga tu?

Hamna haja kuwa na maswali ktk hilo kwani dr slaa anajua kila kitu kinachoendelea ndani ya usalama wa taifa, tumsubiri aje atuthibitishie kama ni kweli au si kweli au mahojiano hayo yalifanyiika lini.
 
Wewe unadhani tutaendelea kukaa chini ya utawala dharimu huu wa kimafia milele? Historia haisemi hivyo!
Ndio maana nikakuuliza njia gani tena m-badala yakuitumia ili tuondokane na dhwali huyu?
 
alafu anakuja mtu amekenyua meno, anakuuliza, kwanini unapoteza uzalendo na nchiyako kijan?a hopeless!
 
Na Ulimboka walimhoji lini? Angehojiwa Ulimboka kabla ya kumhoji Ighondu
 
Wanajaribu kufukua mizimu ili kufukia hili la Kina Lwakatare. Mtu wa kwanza kufika Eneo la tukio alipotekwa Dkt Uli alikuwa Kijokisimba maana alikuwa anaskilizia maana alifanikiwa kwenda na Jopo la waandishi ili wampige Picha Uli akiwa eneo la Tukio, baada ya hapo aka Organise maandamano yalokosa watu Pale salenda Bridge, baadae eti akaenda Amnest Internation 'kumlilia' Dkt Uli, Msiban mafia huwa wanalia mpaka kukosa nguvu sijui kwa nn?Ukweli uliahirishwa ila haukufutwa!
Mabwege na wajinga tu ndo wanaweza kukubaliana na upuuzi huu alioueleza Mngulu!!! Ni sawa na mimi nimtuhumu X kwa kuniibia halafu nakwenda polisi, polisi wanamwita X kwa siri badala ya kumkamata na kutangaza kwamba tunamshilia ila wanajifungia chumbani na kumhoji na kusema hakuna ushahidi. Lakini mimi niliyelalamika hawaniulizi wizi huo ulitokeaje, wala mashuhuda wengine hawahusishwi.
WanaJF mtakumbuka tukio la kutekwa na kuteswa Dk. Ulimboka lilikuwa public na maelezo yake yako wazi kwa hiyo ilibidi lishughulikiwe kwa uwazi usioweza kuacha shaka. Kamanda Kova na kusema angeunda kamati ya kuchunguza tukio hakuna alichofanya zaidi ya kuja na maigizo ya kichaa mmoja aliyedaiwa kujisalimisha kanisa la misukule. Jamani jamani haya yanaweza kutokea Tanzania tu.
 
Wanajaribu kufukua mizimu ili kufukia hili la Kina Lwakatare. Mtu wa kwanza kufika Eneo la tukio alipotekwa Dkt Uli alikuwa Kijokisimba maana alikuwa anaskilizia maana alifanikiwa kwenda na Jopo la waandishi ili wampige Picha Uli akiwa eneo la Tukio, baada ya hapo aka Organise maandamano yalokosa watu Pale salenda Bridge, baadae eti akaenda Amnest Internation 'kumlilia' Dkt Uli, Msiban mafia huwa wanalia mpaka kukosa nguvu sijui kwa nn?Ukweli uliahirishwa ila haukufutwa!

This is very confusing
 
Wanajaribu kufukua mizimu ili kufukia hili la Kina Lwakatare. Mtu wa kwanza kufika Eneo la tukio alipotekwa Dkt Uli alikuwa Kijokisimba maana alikuwa anaskilizia maana alifanikiwa kwenda na Jopo la waandishi ili wampige Picha Uli akiwa eneo la Tukio, baada ya hapo aka Organise maandamano yalokosa watu Pale salenda Bridge, baadae eti akaenda Amnest Internation 'kumlilia' Dkt Uli, Msiban mafia huwa wanalia mpaka kukosa nguvu sijui kwa nn?Ukweli uliahirishwa ila haukufutwa!

HELLEN KIJO BISIMBA naye anastahili kuhojiwa jamani Mbona hili sakata la ULIMBOKA alikuwa nalo karibu sana? alikuwa na maslahi gani katika hili? mara wa kwanza Mabwepande, Mara maandamano SELANDER BRIDGE, mara mabango ya kumsindikiza SA. Au ni shemeji yake nini? ahojiwe naye jamani.
 
hizi ni siasa tu,, sioni kama kuna nia ya kweli hapo katika kushughulikia swala la ulimboka... Lwakatare wamemkamata kwa ushahidi wa video a,bayo hatujua kama ni halisi... lakini walishindwa kumkamata rama amabaye kuna ushahidi wa mhusika mwenyewe na pia ushahidi wa mawasiliano... USANII mtupu
 
HELLEN KIJO BISIMBA naye anastahili kuhojiwa jamani Mbona hili sakata la ULIMBOKA alikuwa nalo karibu sana? alikuwa na maslahi gani katika hili? mara wa kwanza Mabwepande, Mara maandamano SELANDER BRIDGE, mara mabango ya kumsindikiza SA. Au ni shemeji yake nini? ahojiwe naye jamani.
Mbona inajulikana namna alivyoingia kwenye hili!! Kila kitu kiko wazi, baada ya madaktari kuona serikali imehusika waliomba watu wa haki za binadamu waingilie, hapo ndo wakampigia simu Mama Bisimba na ndio walienda kumchukua na kumpeleka hospitali kwa kutumia ambulance ya kukodi baada ya Muhimbili kugoma kutoa ambulance ili wachelewe Dk Ulimboka afe kabisa. Usidhani tumesahau jinsi serikali ilivyojaribu hata kuchelewesha ambulance makusudi kwa kusimamishwa na trafiki pale St. Peters, lakini Mungu akawaumbua kwa kumnusuru Dk. Ulimboka, mtoto wa Steven Mwaitenda.
POLISI WENYEWE WANAJUA HAWAWEZI KUGUSA MAMA HELEN KIJO BISIMBA
 
Hapa mnategemea polisi waseme nini?hata wiki ijayo watawaambia wameshamhoji mwigulu kuhusiana na lwakatare na amekanusha kuhusika na ile video.
 
Back
Top Bottom