Polisi wadaiwa kumsaka Mange Kimambi. Latolewa agizo la siri kwa vituo akionekana akamatwe!

Polisi wadaiwa kumsaka Mange Kimambi. Latolewa agizo la siri kwa vituo akionekana akamatwe!

Ukiona Mpaka unafanya kitu illegal na ukafanikiwa usijione ww ni mjanja ujue wale wenye kazi ya kuzuia hyo illegal hawajaamua kudeal na ww na siku wakiamua kudeal na ww hata huyo anayekupatia hyo illegal hato pata nafasi ya kufanya hvyo asijulikane kwani ww unadhani serikali ikiamua kumtafuta huyo mtumishi anayemtumia hzo
Classified information wanashindwa kumpata??
Mbona sasa bado zinavuja?serikalini sasa hivi watu wamechoka hivyo uzalendo hakuna
 
SIDHANI KAMA KUNA HAJA YA KUHANGAIKA NA MANGE, pa kuparekebisha ni jikoni, jiko linavuja unakimbilia njie utanyeshewa tu. pia waosha vyombo jikoni wana thamani sana..wana ndugu zao wangependa nao wale chakula cha jikoni.
mh! sijui nakosea- ngoja nikimbie......
Nadhani hicho ndio cha msingi
 
Mkwara wa kitoto sana, followers wake wengine wanamtukana anaishia kuwa block tu na picha zipo insta mbona haja fanya hivyo?
And nothing or no one can do about it mana mind you kuna wazito sana wanamsapot na hata kumpa info za siri hata zile zenye matter of national security, sio kila top unayemuona anafurahia ujinga unaofanywa na serikal hii, na nakwambia tu waendelee kumchokonoa na kumpandisha midadi ili alipue bomu la kuwavua nguo kabisa
 
Unaweza kuta hata zako zinahesabika kutokana na mada zako humu unavyodadavua sema hujui.Mange is there to stay.asipokuwepo watatokea wengine.USA na ujanja wao.wote Week leak inawapiga kila uchwao.
[emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji24] [emoji24] [emoji35] [emoji35]
 
Ukiona Mpaka unafanya kitu illegal na ukafanikiwa usijione ww ni mjanja ujue wale wenye kazi ya kuzuia hyo illegal hawajaamua kudeal na ww na siku wakiamua kudeal na ww hata huyo anayekupatia hyo illegal hato pata nafasi ya kufanya hvyo asijulikane kwani ww unadhani serikali ikiamua kumtafuta huyo mtumishi anayemtumia hzo
Classified information wanashindwa kumpata??
Wanawaweza kuwapata ama wasiwapate, ukae ukijua kati ya wanaoamua kumtafuta Mange pia wamo watakaomtonya kuwa ABC na hivyo fanya CBA.
Note: yanayofanywa na vigogo ambayo yana personal growth badala ya National Interest, baadhi ya watekelezaji wanalazimishwa..... Na hawayapendi. Viapo vinawalazimisha kutekeleza.
 
Mwanzoni nilidhani mgogoro wa Syria ni kati ya Asad na ISIS lakini nilivyokuja kufuatilia kwa undani ndio nikakuta kumbe kuna makundi tofauti takribani kumi na kila mmoja kuna nayepingana naye, hapo ndipo nilichoka.
Nimetoa mfano huo katika kuangalia ni jinsi gani mtu yupo Amerika lakini anapata taarifa nyeti kuliko hata hao walio Bongo. Na ukisoma maandiko yake yanaonyesha wazi alivyo aware na hatari inayomkabiri, mwishoni isije ikawa ni nani ana hoja ya msingi regardless anatumia matusi kuipresent au anatumia vitisho.
Kikubwa kabisa ni pale utapogundua kuwa wakikaa watu sita kupanga jinsi ya 'kummaliza' wannne kati yao wako upande wa Mange, si unajua Afrika kuwa 'betrayal is an order of a day' na hasa katika kupanga uovu! Ngoja tuangalie.
Huku tumeminywa na sheria za mitandao wacha wamrushie aweke hadharani, usikute kuna watu wanahabari chafu zaidi ya hizi lakini kwasababu ya sheria hii wanahofia usalama wao
 
Mange kwa maelezo yake alisharipoti kwenye idara za usalama wa USA kuwa jambo lolote baya likimtokea basi serikali ya tz inahusika, na zadi ya hapo aliomba ulinzi, yeye anajiita mwanaharakati wa haki za watanzania, wanasahau tu nguvu kubwa ya mange inatoka kwa watu waliopo nchini ambao wako tayari kushirikiana nae,
Yule pale akitaka chochote serikalini haichukui hata masaa 24 anakipata,
 
Kule whitehouse tu siri zinavuja sembuse huku bara giza
 
Ukiona Mpaka unafanya kitu illegal na ukafanikiwa usijione ww ni mjanja ujue wale wenye kazi ya kuzuia hyo illegal hawajaamua kudeal na ww na siku wakiamua kudeal na ww hata huyo anayekupatia hyo illegal hato pata nafasi ya kufanya hvyo asijulikane kwani ww unadhani serikali ikiamua kumtafuta huyo mtumishi anayemtumia hzo
Classified information wanashindwa kumpata??
Mkuu unafikiri ni mmoja tu?? !
umeshasoma habari ya snowden edward
 
Mange kapost picha vitu nyeti sana about makonda... sijui kadi za magari...!! yanii sheeda tupu yule dada... Asijekutoweka kama Saa Nane..
 
Back
Top Bottom