Umeanza vizuri ila umemalizia vibaya. Heshima ya nchi ni muhimu sana kuliko heshima ya viongozi wasiojielewa. Acha binti aendelee kuwafunua tupate mpaka yale ya ndani kabisaa.Wakati mwingine heshima ya Nchi ni bora sana kuliko heshima ya mtu Mange anafanya
Personal Attacks kwa viongozi na watu lakini huyu akiachwa tu kuna siku ataanza kufanya mambo ya ajabu na kuwa threat kwa National Security hapo ndio utakuja kujua hayo mazingira mazuri ya watoto wako unayoyapigania sasa yamekuwa ni mabaya zaidi
Wakati mwingine ni ngumu sana kujua ufahamu wa mtu au akili zake zinafanya kazi vizuri mpaka pale anapofanya vitu vya ajabu au kusema vitu vya ajabu lakini leo nimejua ufahamu na akili zakoumekula mchana naona akili imekosa virutubisho
Sijambo....... Muda mrefu nimekumiss aisee. Mange katukutanisha...marahaba kijana mzima wewe.......
Hao wanaomtukana Trumph hukohuko marekani mbona hawakamatwi jombaa?Atapatikana tu ipo siku isiyo na jina ili ajieleze kuhusu matusi yake na bullying alizowafanyia watu mbalimbali kibaya zaidi kavuka kiwango na kuwatukana mpaka viongozi na records zoote zipo. Kwa Marekani huo ni uhalifu na wala haiko kwenye haki za binadamu kutukana wengine na kuwadharirisha, asidhani atapata kinga yoyote na ukichukulia yeye ni mhamiaji aliyegeuka mhalifu...tusubirini kitakachotokea...Taratibu hii itafika mpaka Interpol....
Pole sana boss ..... wengine hawaoni unayoonaHuyu Dada kwakweli ataishia pabaya chuki zake na visasi kwa watu vitammaliza. Hapo alipo ana kesi nyingi za kujibu, akishtakiwa hawezi kutoka.
Akimchukia Mtu hawezi kumwacha bila kumchafua, huyuhuyu aliingiwa chuki kwa Makonda. Kila akifanyacho akawa anamkosoa, tena anamkashifu. Ilipoanza vita ya kufukuza mashoga, akazusha Makonda ni shoga anafukuza shoga wenzie. Akatuma hadi screenshot akichat na mtu, eti fulani kamwambia kuna mtu wa CCM alikatwa jina ubunge kisa anamchukua Makonda chakula ya Mkuu.
Alikemea sana madawa, ila asiyempenda alipoiongoza vita akaanza mengine. Hapo ndipo tukasikia yule anayemwita shoga kadinda hadi ana mchepuko wa kando.
Kiufupi siwezi kumwita Msema Kweli bali ni mlipa visasi kwa kutumia mtandao,
Huyuhuyu Mbaya wake alitangaza kuolewa akaanza kampeni za kuhakikisha haolewi. Alimchafua awezavyo mtandaoni, halafu sasa ukiangalia ukosoaji Wake unawahusu maadui zake tu na si wengine.
Jiulizeni wanaofanya makosa ni maadui zake tu?
BINAFSI NAOMBA SANA ASHIKWE AKAJIBU KESI ALIZO NAZO, SIWEZI KUMTETEA HABITHI(MZANDIKI). AKIAMBIWA UKWELI KUHUSU MAKOSA YAKE NI ANAKUBLOCK.
Kaa hapohapo stendi kusubiriHaha, in short mange siku yake ikifika atajileta mwenyewe tz na akija kisha habari yake. Haina cha lisu wala nani. Lazuma awajibike kwa makosa yake
Ongezeka basi mkuu uwe wa pili.Wakipatika akina mange kama kumi hivi afu kila mtu awe anatuma kombola toka nchi tofauti ingekuwa safi sana!
Sijambo....... Muda mrefu nimekumiss aisee. Mange katukutanisha...
safi sana sasa anza kufikiria kwa akili zaidi ya mapenzi yako..maana tayari kama umeweza kuona akili zangu...Wakati mwingine ni ngumu sana kujua ufahamu wa mtu au akili zake zinafanya kazi vizuri mpaka pale anapofanya vitu vya ajabu au kusema vitu vya ajabu lakini leo nimejua ufahamu na akili zako
Waambie haoo.Hajakana na hana sifa za kupata uraia wa Marekani kutokana na criminal records zake na alishawahi kuidanganya mahakama.Ni mtu asieaminika,anaishi kwa green card kwa kuwa tu ana watoto,wakifika 18,patachimbika.
Ikitokea mtalaka akachukua watoto,(jambo ambalo litatokea soon) Mange atakosa haki ya kuishi America.
Kitu kikubwa na cha muhimu kwa sasa ni wahusika kuchukua hatua kwa tuhuma zinazoendelea kwa muhisika unapotafuta pakutokea kwakutaka wadili na mtu ambae kaweka ushahidi hadharani ni udhaifu wa kiwango cha juu. Kabla ya kudili na Mange walitakiwa kumsimamisha kazi mtuhumiwa ndipo waanze kuangalia siri zinavujia wapi. HUWEZI KUTOKA KAMA HUJUI ULIPO INGILIAWakati mwingine heshima ya Nchi ni bora sana kuliko heshima ya mtu Mange anafanya
Personal Attacks kwa viongozi na watu lakini huyu akiachwa tu kuna siku ataanza kufanya mambo ya ajabu na kuwa threat kwa National Security hapo ndio utakuja kujua hayo mazingira mazuri ya watoto wako unayoyapigania sasa yamekuwa ni mabaya zaidi
Tena afunge siku 40Bwana yule afanye kazi ya kujiombea mwenyewe