BilioneaPATIGOO
JF-Expert Member
- Jun 23, 2012
- 12,320
- 11,327
Kukanya tu...?mange is a winner already, I loveeee her spirit, kuna wanaume humu ndani hata kuwakanya wake zao Ni shida
Hebu ngoja niinstall instagram kwanza, nimuone huyo Snowden wa Tanganyika
Mange Kichwa Chake Kimeungua,Mkanyage Bahati Mbaya akulipue makusudi,Yaani yeye ni mpole ukiingia kwenye 18 zake hakubakizi hata chembe.Who this lady by the way? hivi kuna mtu anajua background yake vizuri? Sidhani kama ni mtu wa kaawaida
Lkn bado anadunda kwenye ofisi za serikali yetu na anafaidi mshahara kupitia kodi zetuMkuu yani acha tu, sasa si unaona kama kaweza kupata mapicha yote hayo ya mali za Bashite na jinsi alivyohongwa na ushahidi wote kaanika.
Fanya Fasta Snowden yupo vizuri hatari.Hebu ngoja niinstall instagram kwanza, nimuone huyo Snowden wa Tanganyika
Mkuu mm sina tatizo kabisa na harakati za Mange ni nzuri hasa kwa watu wenye kudanganya kuwa rangi zao ni nyeupe kumbe ni rangi nyekunduKitu kikubwa na cha muhimu kwa sasa ni wahusika kuchukua hatua kwa tuhuma zinazoendelea kwa muhisika unapotafuta pakutokea kwakutaka wadili na mtu ambae kaweka ushahidi hadharani ni udhaifu wa kiwango cha juu. Kabla ya kudili Mange walitakiwa kumsimamisha kazi mtuhumiwa ndipo waanze kuangalia siri zinavujia wapi. HUWEZI KUTOKA KAMA HUJUI ULIPO INGILIA
Hujielewi ww nyie ndio mnaorudisha hii nchi nyuma..yani unaboambona hiyo doc haionekani kuwa ni ya siri. ni tangazo au taarifa kwenda vituo vyote vya uhamiaji, kwangu si tangazo la siri na wala halionyeshi kuwa lilikuwa la siri.kingine mtu anayemuunga mkono mange nahisi ana upungufu wa akili kama mange alivyo.
Hiyo ndiyo inaitwa shukrani ya lumumbaSi alikua shujaa wa ccm kipindi cha kampeni Leo mnapanga kumuua
Wanatwanga Kote kote.Alipo makonda lazima mapigo ya moyo yashuke huku Kimambi kule Gwajima hapa wazalendo wa jf
Hiii doc ndo mwanzo wa kuupata mtandao wa mange, watu wa conf registry ilipopita kote nawaonea huruma maana wapo wasohusika hil litawakumba...
.............Kutoka nchi tofauti?![emoji23] [emoji23] [emoji23]Wakipatika akina mange kama kumi hivi afu kila mtu awe anatuma kombola toka nchi tofauti ingekuwa safi sana!
Unafanya nn mkuu au ndo kwasababu ya kuchangia thread basi tunachangia akifanyiwa chochote uwezi na utafanya chochoteASIJE NCHINI MPAKA UTAWALA HUU UTAKAPOPITA, HATA HIVYO AKIDHURIKA TU. " HATUTAIELEWA........."
Dua la kuku halimpati mweweHajakana na hana sifa za kupata uraia wa Marekani kutokana na criminal records zake na alishawahi kuidanganya mahakama.Ni mtu asieaminika,anaishi kwa green card kwa kuwa tu ana watoto,wakifika 18,patachimbika.
Ikitokea mtalaka akachukua watoto,(jambo ambalo litatokea soon) Mange atakosa haki ya kuishi America.
No, that girl is very smart,mm na hisi ni TISS yule au FBINyumba kubwa kunavuja kuna leakage mahali.... Muundo wetu wa habari za siri sio air tight mark tena! Kuna mianya
Mange amekuwa the first to know figure kwenye mambo mengi sana... Ni nani anampenyezea habari nyeti kabisa? Za watu binafsi na hata nyumba kuu? Au ni wale wanajeshi mashushushu waliokuja na Obama Kisha tukawakabidhi paa letu ili waangalie usalama?
Mange amekuwa snowden wa Tanzania.. Lakini sijui Kama kwa hali ilivyo atavumiliwa sana....namkumbuka Ben pekeyake na chatu
Leo kwa habari za chini ya zulia ilitoka hati ya kumkamata pengine huko aliko lakini akainyaka kabla haijamfikia rasmi... Kama kawaida yake kawafungukia mbaya
Namkumbuka Karegeya wa Rwanda na kilichompata hotelini South Africa peke yake chumbani