Polisi wadaiwa kumsaka Mange Kimambi. Latolewa agizo la siri kwa vituo akionekana akamatwe!

Mange kimambi :from Instagram drama queen to civil rights fighter.
 
Ndo mwenyewe make naye huwa anawa-washauri mabinti watafute wanaume wenye hela.
 
Viongozi wengi wa Africa hawaupendi ukweli hasa ktk maovu wanayoyafanya hata wananchi wengi huangalia maslahi ya chama nakusahau uzarendo wa nchi yao.Viva ukweli na uwezi..........
 
Duuuu......safi sana mange......ATABAKI SHUJAA HATA KM MABASHITE WATAMFANYA LOLOTE LKN AMETHUBUTU MWANADADA HUYU NAMPONGEZA
 
Poor mind
 
Poor mind
 
[HASHTAG]#Hapavyetitu[/HASHTAG]
[HASHTAG]#hakunakazibilavyeti[/HASHTAG]
[HASHTAG]#Tanzaniabilavyetihaiwezekani[/HASHTAG]
 
Mi nashangaa kitu lakini ... kwa habari kama hii alipaswa apongezwe na apewe zawadi ya kufukua uvundo ... lakini leo hii eti anatengenezewa hati ya kukamtwa ...

Kwani jamani aliyoyafukua yanahitaji busara kuthibitisha ngoma si ipo wazi kabisa mkuu anatakiwa kumalizia tu ... keshatafuniwa kila kitu au?

Boooonge moja la soooo!!! da!!! yani mshkaji mixer kulia kanisani kumbe zuga tu yani ... ashabemenda mpunga na mandinga juu kaaachiwa, afu ooh! vita sijui kufanyaje ... na ma bwege makofi meeengi ... ha ha ha haaaa

Mjomba mzee wa list anachimba biti kwenye orodha yake... pembeni kapaki FORD RENGER 2015 Rangi ya mchuzi kudadeki, aiseee!!! afu tukija humu JF unakutana na watu wana mteteeeeea ... acheni upimbi yani mnageuzwa kama samaki ...
 
BINAFSI NAOMBA SANA ASHIKWE AKAJIBU KESI ALIZO NAZO, SIWEZI KUMTETEA HABITHI(MZANDIKI). AKIAMBIWA UKWELI KUHUSU MAKOSA YAKE NI ANAKUBLOCK.[/QUOTE]
utshikwa wewe kwa taarifa yako
 
Mkuu nimesha renew passport mara 3, ya kwanza na ya tatu nililetewa na mtu ofisini kwangu. I know and I am sure of what I am saying. Passport ya kwanza niliomba na kuipata within a day......
Mkuu naongelea ukiwa nje ya nchi, halafu kwa system ya sasa hivi hawezi tena ku renew passport bila muhusika kuwepo, ndiyo maana airport hatujazi tena vile vikaratasi ila tunaweka finger
 
Akili bila akiri haisaidii kitu!! Wewe akili yako inazidiwa na ya bashite
Mtu mwenyewe anaiywa Massawe atakua anauza nyanya sokoni huyu tena za mafungu..wewe huoni hata kashindwa kutumia username ya kijanja katumia jina lake na la ukoo
 
Uozo wa nchi.hii tumeshaujua
Wakaat mwingine ni bora kufa kwamba umesema ukweli na uwaache deciders yaan watanzania wa decide wenyewe.
Halafu iweje mkuu... Mi naona kikubwa zaidi ni kusaka pesa na kukaa pembeni/mbalii na siasa

Au we unaonaje?
 
Kuchamba kwingi tu.Hivi ikitokea pasi yake imekwisha atakapotakiwa arudi nyumbani kushughulika na pasi mpya atafanyaje
Mange ni raia wa marekani, kwa taarifa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…