Polisi wadaiwa kumsaka Mange Kimambi. Latolewa agizo la siri kwa vituo akionekana akamatwe!



Ni kawaida kwa mwanamke wa Kipare, yaani ni washirikina sana na wana wivu wa kijinga.
 
Nashangaa sana kuona baadhi ya member jf kusifia kwamba mange kashindikana na serikali,mange kama karatasi tu yaani mwepesi kukamatwa kwake na kitu chochote anachotegemea na nahisi wastaafu waliamia CDM wanausika na yote haya
 
Mange ni mwanamke jasiri. a astahiri tuzo ya nobel
 
Usifikiri mjinga mange kutukana serikali anajiwekea ulinzi na kuwa mkimbizi wa kisiasa anasema siwezi kurudi tz wataniua kwa hiyo wamarekani wanamlinda
 
Ni kawaida kwa mwanamke wa Kipare, yaani ni washirikina sana na wana wivu wa kijinga.
u r pathetic, u can't even argue with facts, u r a disgrace to all men in this world [emoji57][emoji57][emoji57][emoji57]
 
Siku wakimkamata yule mkosa malezi ya pande mbili nitafanya sherehe kubwa na nguvu..maana hata kama anayoyaongea baadhi yanakaukweli lakini si kwakutumia lugha za matusi ya nguoni kuwatukan watu hivyo..Mungu amdhalilishe yule mama kwakuwadhalilidha watu wazima na wadogo.
 
Kwaio kaumiza na maisha ya daudi bashite sio kwamba yote yanayosemwa anasingiziwa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…