Polisi wadaiwa kumsaka Mange Kimambi. Latolewa agizo la siri kwa vituo akionekana akamatwe!

Polisi wadaiwa kumsaka Mange Kimambi. Latolewa agizo la siri kwa vituo akionekana akamatwe!

Nashangaa sana kuona baadhi ya member jf kusifia kwamba mange kashindikana na serikali,mange kama karatasi tu yaani mwepesi kukamatwa kwake na kitu chochote anachotegemea na nahisi wastaafu waliamia CDM wanausika na yote haya
Kamkamate wewe kilaza.
 
Mange kaumiza maisha ya watu wengi sana, kachonganisha mahusiano ya watu, ni mtu wa 'kwanini', ana wivu sana anapoona mwanamke mwenzie anatusua.

Ni kundi la watu aina ya 'psychopath' - yani mtu mwenye chuki sana na watu, hana huruma na yupo tayari kuona damu ya mwenzie ikimwagika ndio furaha ije usoni mwake.

Japo kwa upande mwingine anaraise issues ambazo zinatuhusu , hasa uovu wa watawala wetu, lkn katika suala la maisha ya watu binafsi anakosea sana.

Watu wengine hawanaga maneno, hawataki visasi, utawaharibia lkn karma haitakuacha ukatize salama.
Mbona unachanganya mambo sasa ... hiyo inakuhusu nini wewe sasa ... kila mtu anamadhaifu yake ...

Chukua mazuri muachie psycopath yake ... katika hili la bashite Bibie kasimama imara ... Mpongeze kaka
 
Haa Kamshna Generali Mama Anakazi Ngumu
Hii Imevuja Vp
 
Kuikosoa si tatizo...tatzo ni lugha anayoitumia ktk ukosoaji wake..Yaan mwanzoni alikuwa ananifurahisha ila Sasa naomba atafutwe kwa kila njia na akipatikana apotezwe tu.

Anadhalisha watu vibaya mnooo!Na anafanya hivyo kwa makusudi huku akitumia lugha ya kiswahili ipi watoto wake wasijue kibachoendelea..hakuna adhabu inayomstahili zaidi umauti period!!!![emoji35] [emoji35] [emoji35] [emoji35]
We kweli Bombay ... unajua kwa nini India ilibadilisha jina la Bombay kua Mumbai ... Sorry sijui unafahamu hilo!!!?

Ukipata jibu la kwa nini basi jibu lake sawa na akili zako ... Bashite mwingine we!!!
 
Wakati mwingine heshima ya Nchi ni bora sana kuliko heshima ya mtu Mange anafanya
Personal Attacks kwa viongozi na watu lakini huyu akiachwa tu kuna siku ataanza kufanya mambo ya ajabu na kuwa threat kwa National Security hapo ndio utakuja kujua hayo mazingira mazuri ya watoto wako unayoyapigania sasa yamekuwa ni mabaya zaidi

Izzo ni kweli heshima ya nchi ni muhimu lakini pia kwa nchi kama yetu ni vigumu sana hata kujivunia. Tukimlaumu Mange kwa baadhi ya madhaifu na kama anaweza kuuza usalama wa nchi, na vipi watu kama hawa waliofujisha habari kama hii na wao pia wanaweza kufanya kitu mbaya na kuwa threat for the national security.
 
We kweli Bombay ... unajua kwa nini India ilibadilisha jina la Bombay kua Mumbai ... Sorry sijui unafahamu hilo!!!?

Ukipata jibu la kwa nini basi jibu lake sawa na akili zako ... Bashite mwingine we!!!
Ungelikuwa unahitaji kujua ningekujuza ila kwa kuwa unahitaji matusi nitakufundisha na utaelewa ,nashindwa kutofautisha akili zako kichwani na kikojoleo cha ke kilicho ndani ya h.e.d.hi ,maana hakuna kitu kichwani kwako zaidi damu chafu yenye takataka zenye harufu mbaya.[emoji35]
 
Mange hana kosa kosa ni baba mwenye nyumba kutotenda hali kufanya watoto wamseme vibaya kwa majiranj
 
Nyumba kubwa kunavuja kuna leakage mahali.... Muundo wetu wa habari za siri sio air tight mark tena! Kuna mianya

Mange amekuwa the first to know figure kwenye mambo mengi sana... Ni nani anampenyezea habari nyeti kabisa? Za watu binafsi na hata nyumba kuu? Au ni wale wanajeshi mashushushu waliokuja na Obama Kisha tukawakabidhi paa letu ili waangalie usalama?

Mange amekuwa snowden wa Tanzania.. Lakini sijui Kama kwa hali ilivyo atavumiliwa sana....namkumbuka Ben pekeyake na chatu
Leo kwa habari za chini ya zulia ilitoka hati ya kumkamata pengine huko aliko lakini akainyaka kabla haijamfikia rasmi... Kama kawaida yake kawafungukia mbaya

Namkumbuka Karegeya wa Rwanda na kilichompata hotelini South Africa peke yake chumbani
Huyu demu FBI wana habar zake na wanajua ni mwanaharakati wa kupigania demokrasia nchini Tanzania kwahiyo kwenda kufanya assassination USA inabid wajipange kiukwel tofaut na hapo itakula kwao mkuu
 
Well said mkuu..watu wanachukulia juujuu hili swala but kuindani hapa kna pipoz ztawajibika ipasavyo in life or death
Ukiona mwanaao anakutukana jua amekuchoka na mapicha picha yako na kashaamua liwalo na liwe. Hii ni hatua moja kunakoelekea ni kubaya zaidi
 
mange alisha sema harudi tena tz yeye ashapata uraia wa usa
 
Back
Top Bottom