Kunnywa sumu tu kama humpendi. Mimi nampenda sana anatusaidia kufichua maovu ya serikali hii.ona sasa tumejua bashite kumbe ni mla rushwa mkubwa tu. Kwanini hampendi maovu ya serikali yaanikwe hadharani?unajua inawezekana ikawa sisi watz ndo tunampa kick uyu msukulee....yn tumemuekeq attention sana na ndomana anapata kichwaaa....watz tunapenda sn umbea na uyu kajua pakutukamatiaa......mm binafs namchukia sanana simpendiii....hana akili ni mtu fulani broked aliyechoka na maisha anaetafta pakutokea
Duh!
Yaani serikali nayo iwe inaendeshwa na matukio ya Instagram?
Aiseeee[emoji54]
Labda jamaa anataka kutuaminisha kwa manenepa ni Gasho.Sijakuelewa unaposema anachukia mwanamke mwenzie akitusua. Inamaana Makonda ni mwanamke mwenzie? Maana ndio anamuanika sana hadharani madudu yake
Mbona unaongea vitu irrelevant mkuu Viroba si vimefungiwa?Haha serikal ina mkono mrefu ...
Okey ngoja tuuone huo mkono
And by the way hii ni thread ya tatu sjui ya nne inazungumzia the same thing tokea jana ...its not big issue
Kama mnafikiri mna deal na crook bas endeeeleen ndivo marekan walidhan kwa snowden ni just a small boy or just a hacker....but ona sasa hivi...ukijaribu kumsogelea means unaivamia urusi
You know what that means ...vita ya 3 ya dunia
Mkuu kwani wanajua bas ...wana mihemko tu, wwnadhan unapanda basi ama meli ama ndege unashuka marekani pale airport unasema nimekuja kumkamata fulan unaruhusiwa unaenda unamshika u drag her to the airport unarud ..huku vikos vya usalama vya marekan pale airport wanakuangalia tu..Na ukizingatia tayari US inajua kuwa Tanzania imetunga sheria kandamizi ya kuzuia uhuru wa habari.
Halafu kaandika na confidence ya ajabu. Hana hata aibu.Amechanganya Department of Homeland Security (US) na Home Secretary (UK)
Departiment of interior USA na Home Secretary U.K. All has one mission ni sawa na ministry of home affairs TanzaniaUSA hakuna Home Secretary .....acha ujuaji.
Wakijibu mapigo, hali itakuwa mbaya sana kwake.mange kaamua kuwanyima watu wazito usingiziii.....
Mimi binafsi nampenda mtu yeyote, maana maandiko yanatufundsha kumpenda kila mtu. Kwa hiyo Wakina Mange, Bashite au makonda pamoja Baba lao Sionje wote nawapenda.unajua inawezekana ikawa sisi watz ndo tunampa kick uyu msukulee....yn tumemuekeq attention sana na ndomana anapata kichwaaa....watz tunapenda sn umbea na uyu kajua pakutukamatiaa......mm binafs namchukia sanana simpendiii....hana akili ni mtu fulani broked aliyechoka na maisha anaetafta pakutokea
Kwa Tz nasikia ni kosa!Shit just got real!
Ila kwani kuibua maovu ni kosa?
Huna hoja ya msingi ndo mana jambo la kwanza lililokuja akilin mwako ni virobaMbona unaongea vitu irrelevant mkuu Viroba si vimefungiwa?
Hata ningeandika aende ministry of home affairs USA,sijakosea.Same mission only different nomenclature.Halafu kaandika na confidence ya ajabu. Hana hata aibu.
Nani anahangaika naye?Kama ni matukio ya Instagram, kwanini sasa wanahangaika nae?Kwanini wasiyapuuze?
Usemayo ni kweli kwani kama angekuwa na uoga wa kitanzania asingeweza kuyafanya haya mambo kishujaaWw unadhani ni wa mchezo mchezo huyo unaeza kuta ni FBI
Homeland security secretary?USA hakuna Home Secretary .....acha ujuaji.
Ha ha kwani Matamko ya uhakiki tz si yanatolewq na wanawake kama Angela Kairuki je napo vibaya[emoji16][emoji16][emoji23]Kumbe kelele zote hizi siku zote hizi bashite ni mwanamke? Yaani nilikua nashabikia kitu sikijui