Elungata
JF-Expert Member
- Jan 28, 2011
- 40,205
- 33,287
Lakini kwanini huyu mange ana kiherehere cha kuibua maovu ya serikali?.
Au ana hasira alipokuja kuwakampenia wakati wa uchaguzi mkuu badala ya kumshukuru na kumpa japo udiwani wao walimrundika lokapu.?
Sijui hakujua kuwa maccm hayanaga shukrani,we wasaidie ila mda wowote wanakugeuka na kukuweka lokapu
Au ana hasira alipokuja kuwakampenia wakati wa uchaguzi mkuu badala ya kumshukuru na kumpa japo udiwani wao walimrundika lokapu.?
Sijui hakujua kuwa maccm hayanaga shukrani,we wasaidie ila mda wowote wanakugeuka na kukuweka lokapu