TangataUnyakeWasu
JF-Expert Member
- Dec 18, 2016
- 1,268
- 1,611
Hao wanaishi sayari ya Jupiter Au Utaridi(Pluto) mkuu achana nao. Wanadhani mtu anakamatwa kirahisi utadhani yuko tandale kwa mtogole?Mkuu kwani wanajua bas ...wana mihemko tu, wwnadhan unapanda basi ama meli ama ndege unashuka marekani pale airport unasema nimekuja kumkamata fulan unaruhusiwa unaenda unamshika u drag her to the airport unarud ..huku vikos vya usalama vya marekan pale airport wanakuangalia tu..
[emoji23][emoji23][emoji23]
Tatizo ni lugha ila hoja zake zina mashiko mapana. Utandawazi hauzimwi na sheria au polisi au TCRAShit just got real!
Ila kwani kuibua maovu ni kosa?
National security ndo nini? Hv Tanzania na sisi tuna national security? Tz ni kama malaya tu, kila nchi inampakata, national security imechenji imekua personal or group security....walioshika madarakani na vibaraka wao ndo wenye security.....Wakati mwingine heshima ya Nchi ni bora sana kuliko heshima ya mtu Mange anafanya
Personal Attacks kwa viongozi na watu lakini huyu akiachwa tu kuna siku ataanza kufanya mambo ya ajabu na kuwa threat kwa National Security hapo ndio utakuja kujua hayo mazingira mazuri ya watoto wako unayoyapigania sasa yamekuwa ni mabaya zaidi
Haitaki kusaidiwa na raia wemaMimi ningeona serikali inabusara Kama ingefatilia yale anayoyasema yana ukweli kiasi gani, Kama ni kweli wampe support Kama ni uongo ndiyo wangetoa hiyo taarifa, tatizo Kuna mambo mange kayazungumza ni ukweli mtupu lakini serikali inajifanya haioni
Serikali kupitia idara ya Uhamiaji imesema inamtafuta popote pale Mange Kimambi anayeishi Marekani kwa tuhuma za kuibua uovu mbalimbali Katika Serikali na watu wengine
Pole kwa kukariri.kwa vile pale inaitwa Home Secretary,pale inaitwa home affairs,kule interior affairs basi zina different missions.Pole.Huna lolote Kilaza wewe.
Duh!
Yaani serikali nayo iwe inaendeshwa na matukio ya Instagram?
Aiseeee[emoji54]
Hata ningeandika aende ministry of home affairs USA,sijakosea.Same mission only different nomenclature.
Haitaki kusaidiwa na raia wema
Ndo tatizo la watu wamekariri,basi kusema home secretary eti nimekosea ?jamani tunahitaji malaika ashuke ili akomboe ubongo wa watanzania.Homeland security secretary?
Inawezekana labdaLabda jamaa anataka kutuaminisha kwa manenepa ni Gasho.
Haya bana.Mkuu usiwe msahaulifu, mwalimu msigwa serikali ilipata taarifa kupitia mitandao ya kijamii, wale madereva waliokuwa wanaendesha gari akaachia usukani amehukumiwa miaka miwili lakini Ni mitandao ya kijamii ndiyo uliyotoa taarifa sasa kwenye hili ugumu uko wapi? Tena mtu anatuma mpaka document za serikali polisi wanashindwa nini kujiridhisha?
Nimekosea wapi,ningesema asylum akaiombe kwa office ya diffence secretary au state secretary.Acheni kukariri.Kubali ulikosea yaishe. Ngoja waje..
Anajidai ujuaji mwingi kumbe Kilaza tu. analazimisha kitu ambacho hakipo.Kubali ulikosea yaishe. Ngoja waje..
Nimekosea wapi,ningesema asylum akaiombe kwa office ya diffence secretary au state secretary.Acheni kukariri.