Polisi wadaiwa kumsaka Mange Kimambi. Latolewa agizo la siri kwa vituo akionekana akamatwe!

Polisi wadaiwa kumsaka Mange Kimambi. Latolewa agizo la siri kwa vituo akionekana akamatwe!

Mkuu kwani wanajua bas ...wana mihemko tu, wwnadhan unapanda basi ama meli ama ndege unashuka marekani pale airport unasema nimekuja kumkamata fulan unaruhusiwa unaenda unamshika u drag her to the airport unarud ..huku vikos vya usalama vya marekan pale airport wanakuangalia tu..
[emoji23][emoji23][emoji23]
Hao wanaishi sayari ya Jupiter Au Utaridi(Pluto) mkuu achana nao. Wanadhani mtu anakamatwa kirahisi utadhani yuko tandale kwa mtogole?
 
Wakati mwingine heshima ya Nchi ni bora sana kuliko heshima ya mtu Mange anafanya
Personal Attacks kwa viongozi na watu lakini huyu akiachwa tu kuna siku ataanza kufanya mambo ya ajabu na kuwa threat kwa National Security hapo ndio utakuja kujua hayo mazingira mazuri ya watoto wako unayoyapigania sasa yamekuwa ni mabaya zaidi
National security ndo nini? Hv Tanzania na sisi tuna national security? Tz ni kama malaya tu, kila nchi inampakata, national security imechenji imekua personal or group security....walioshika madarakani na vibaraka wao ndo wenye security.....
Kila kukicha malalamiko double standard.....kosa akifanya kiongoz sio kosa akifanya kapuku ndio kosa,
* Refer case no 1/2017 Tanzanian Vs DaudiBashite & Mr.President
 
Mimi ningeona serikali inabusara Kama ingefatilia yale anayoyasema yana ukweli kiasi gani, Kama ni kweli wampe support Kama ni uongo ndiyo wangetoa hiyo taarifa, tatizo Kuna mambo mange kayazungumza ni ukweli mtupu lakini serikali inajifanya haioni
Haitaki kusaidiwa na raia wema
 
Watuliye tu mtu akishakuwa na uwezo wa kurusha mawe akiwa Marekani inamaana kuwa ameshawazidi akili hawana la kumfanya, ameshavuka kiwango cha kina Lissu ambao wanawachezea kwa kuwakamatakama kadri wanavyojisikia wao.
 
Serikali kupitia idara ya Uhamiaji imesema inamtafuta popote pale Mange Kimambi anayeishi Marekani kwa tuhuma za kuibua uovu mbalimbali Katika Serikali na watu wengine

Kwa hiyo wanapenda Maovu yao yawe siri yasianikwe?
 
Duh!

Yaani serikali nayo iwe inaendeshwa na matukio ya Instagram?

Aiseeee[emoji54]


Mkuu usiwe msahaulifu, mwalimu msigwa serikali ilipata taarifa kupitia mitandao ya kijamii, wale madereva waliokuwa wanaendesha gari akaachia usukani amehukumiwa miaka miwili lakini Ni mitandao ya kijamii ndiyo uliyotoa taarifa sasa kwenye hili ugumu uko wapi? Tena mtu anatuma mpaka document za serikali polisi wanashindwa nini kujiridhisha?
 
Mkuu usiwe msahaulifu, mwalimu msigwa serikali ilipata taarifa kupitia mitandao ya kijamii, wale madereva waliokuwa wanaendesha gari akaachia usukani amehukumiwa miaka miwili lakini Ni mitandao ya kijamii ndiyo uliyotoa taarifa sasa kwenye hili ugumu uko wapi? Tena mtu anatuma mpaka document za serikali polisi wanashindwa nini kujiridhisha?
Haya bana.

Siwezi kubisha kwa sababu Mange keshatuambia.

[emoji205] [emoji205]
 
kimamb huyo yukoje? mbona kama anamhenyesha magu na watu wake? we kimambi kwel n wa hatar mpaka gvt inakufatilia kwa ukarib kias hcho?
 
Back
Top Bottom