Anajiamni sheria za marekani zinamlinda kumkamata ni ishu mnooooo serikali imeshajaribu mpaka kuhack acc yake lakini wameshindwaNahofia sana usalama wa mange na sijui yeye kama anahofia usalama wake
Watamkamataje wakati anaandika post zake akiwa marekani na kule kuna uhuru wakuongea ndomana huwa anaongea mnooo huoni hata wakina January walimivizia kipindi kile aliporudu tz ni ngumu mnooo kumkamatia kule sheria za kule zamlindaKumkamata mange nidakika sifuri tu sema serikali haijamua kufanya hivo
Wameshapinga muda mkuu, nimeona Le Mtumboz anasema ni fake!! Nikashangaa kawa lini Msemaji wa serekali?Watakuja kupinga na hii pia
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]mange kavurugwaaaaaaEhh mungu embu ninusuru nisije nikazaa mtoto kama mange maana naweza kufa kwa presha
Wadanganye huko Simiyu!!!Kumkamata mange nidakika sifuri tu sema serikali haijamua kufanya hivo
Mpaka kutaka kumkamata means imeshaendeshwa na matukio ya insta.Duh!
Yaani serikali nayo iwe inaendeshwa na matukio ya Instagram?
Aiseeee[emoji54]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]umeonaeeeeWakipatika akina mange kama kumi hivi afu kila mtu awe anatuma kombola toka nchi tofauti ingekuwa safi sana!
Pasi yake iishe kivipi[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kuchamba kwingi tu.Hivi ikitokea pasi yake imekwisha atakapotakiwa arudi nyumbani kushughulika na pasi mpya atafanyaje
We ndo unaupungufu wa akili kwani ni Mara moja kwaa taarifa yako mpaka dau walitangaziwa ili kumkamata ila wakashindwaaambona hiyo doc haionekani kuwa ni ya siri. ni tangazo au taarifa kwenda vituo vyote vya uhamiaji, kwangu si tangazo la siri na wala halionyeshi kuwa lilikuwa la siri.kingine mtu anayemuunga mkono mange nahisi ana upungufu wa akili kama mange alivyo.
Pasi huwa ina muda wa kutumika,lazima ukaombe tena katika kituo kilichotolewa kwa mara ya kwanza.Mkuu au huna passport?Pasi yake iishe kivipi[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Ndo ujue hata marekani ni ngumu kwa jeshi letu kumkamataKuna kipindi account yake ya insta ilifungwa kwa siku mbili kumbe jeshi la polisi liliwasilisha malalamiko kwa uongozi wa instagram ikabidi insta wamuambie apige picha akiwa ameshikilia passport yake inayoonyesha sura na jina kujiridhisha ndipo wakaifungua ,wakawaapuuza polisi baada ya kuona malalamiko yao ni ya kijinga na typical africans wanaopenda kukandamiza wenzao
Sifa anazo tatizo Ana Mali nyingi tz pia anataka karudi kwaajili ya ubunge sio kwamba hana sifHajakana na hana sifa za kupata uraia wa Marekani kutokana na criminal records zake na alishawahi kuidanganya mahakama.Ni mtu asieaminika,anaishi kwa green card kwa kuwa tu ana watoto,wakifika 18,patachimbika.
Ikitokea mtalaka akachukua watoto,(jambo ambalo litatokea soon) Mange atakosa haki ya kuishi America.
hiyo Tiger Motel ndio mali nyingi?si auze tu.Kwa hali hii Mange kawaumiza wengi sana kwa cyber bullying,unadhani anaanzaje kurudi Tanzania kwa hiari yake na chama gani kitamteua kugombea ubungeSifa anazo tatizo Ana Mali nyingi tz pia anataka karudi kwaajili ya ubunge sio kwamba hana sif
Kumuumiza nani kwani anachoongea mange kina uongo acheni kuwa na nidhamu ya uoga hii ni tz ya Karne ya 21 sio Ile ya zama za mababu acha aendelee kufichua maovu Yao me namuombea mungu amlinde na ampe maisha marefuuuuuhiyo Tiger Motel ndio mali nyingi?si auze tu.Kwa hali hii Mange kawaumiza wengi sana kwa cyber bullying,unadhani anaanzaje kurudi Tanzania kwa hiari yake na chama gani kitamteua kugombea ubunge