Polisi wadaiwa kumsaka Mange Kimambi. Latolewa agizo la siri kwa vituo akionekana akamatwe!

Polisi wadaiwa kumsaka Mange Kimambi. Latolewa agizo la siri kwa vituo akionekana akamatwe!

Saa hizi ameingia penyewe wakati ule alikuwa anadeal na mtu sasa anadeal na serikali hiyo document ni ya serikali na imekuwa marked "Siri". Anyway ngoja tuone mwisho wake.
Swali la kujiuliza kwani yeye anafanya kazi serikalini? Ingelikuwa yeye anafanya kazi serikalini sawa. Watafutane wenyewe hukohuko serikalini. Na inabidi wajifunze tu kuwa mtu mzima na familia yake na wajukuu zake huwezi ukamuweka kwenye mazingira ya digidigi kama wanavyofanyiwa wafanyakazi wa bongo nowdays. Wata-misbehave tu.
 
Passport itakapoisha muda wa kutumika tu ndo ataujua mji!!!
Akimpata mwanasheria mzuri aki-frame kesi yake ataonekana ana serious issue na aerikali yake hivyo inabidi aishi kama asylum ndani ya US. Serikali ya US inajua vizuri sana kwamba Tanzania ilipitisha sheria kandamizi ya habari hivyo yeye ni "activist" anayepingana na sheria hiyo.

By the way kwani raia wengine wanaoishi nchi za k8geni kwa sababu za kisiasa wanaishije.
 
u r pathetic, u can't even argue with facts, u r a disgrace to all men in this world [emoji57][emoji57][emoji57][emoji57]


Wewe mwanamke wa kipare, usitokwe na povu bure kama umebwia viroba vilivyo oza.....wenzio tumetembea na ndugu zako na ndiyo maana nakupa makavu live live.....ulitaka nifiche siri zenu au?
 
Passport itakapoisha muda wa kutumika tu ndo ataujua mji!!!
Sheria ya kimataifa uwezi kunyima mtu Passport wakati wa ku renew unless unaushahidi kiwa anauraia wa nchi nyingine.Kwa marekani akisema wamemyima passport kwa sheria za kimataifa anapewa karatasi maalum ya kuishi nchini kwao.Yeye pia ana advantage kwa kuwa watoto wake ni wamarekani na wanamzazi ambaye ni mmarekani na wako under 18
 
Sheria ya kimataifa uwezi kunyima mtu Passport wakati wa ku renew unless unaushahidi kiwa anauraia wa nchi nyingine.Kwa marekani akisema wamemyima passport kwa sheria za kimataifa anapewa karatasi maalum ya kuishi nchini kwao.Yeye pia ana advantage kwa kuwa watoto wake ni wamarekani na wanamzazi ambaye ni mmarekani na wako under 18
Endelea kuota!!
 
Kim un ilitokea Kuala Lumpur Malaysia
Ndiyo ni Kuala Lumpur, lkn plan zilipangwa wapi na watekelezaji ni kina nani? Kwanini balozi wa N.Korea alitimuliwa? Na kwanini N. Korea hawakutaka uchunguza ilihali raia(kaka wa rais) wa N. Korea kauwawa ugenini?

Wanaweza nao wakapanga na kutekeleza popote atakapokua hata kama so US.
 
Mange asijione yuko safe kwa kuwa nnje ya ardhi ya TZ na hivo ikampa kibali cha kutenda makosa ya jinai against the United Republic of TZ. Kama mzalendo wa nchi hii namtangazia kuwa dola inauwezo wa kumrudishi TZ by Extradition Act. Time will tell. Further warning, aache kutumika.
 
Na mtajinyea tu kashafikia followers 1m
714d10503ab161ea92e6bfc0d5e23faa.jpg
 
Mbona yupo zake Kitandu- Old Moshi anakula nyama choma huku akisubiri Pasaka
 
Back
Top Bottom