Polisi wadaiwa kumsaka Mange Kimambi. Latolewa agizo la siri kwa vituo akionekana akamatwe!

Mange is not psychopath... huwez ukamuweka mtu kwenye hilo kundi bila vipimo maalum..
Kuna makundi kibao... ambao wana act kama pyschopath... na kuna ambayo hawa ni wabaya kuliko pyschopath.

Wewe umemuweka ktk kundi hilo sababu ya political issues.. na anavyoanika mambo.

mm na sema mange ni whistle blower....
 
Serikali haiwezi kuhangaika na mange, mange hayupo serikalini, yupo US sasa wamtafute ili iweje? Hao hao serikalini wachungze kama kuna mtu anatoa siri zao, ila mange ni ki mbwa flani hivi tu huwa kinapewa taarifa tu, yani ni kama kuwadi tu, wamuache maana hata maisha hakana jamani, ila anasaidia tu ku challenge serikali
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…