Mama akae akijua aliyeweza kuwaogopesha watz ni yule mnyamilembe peke yake na sasa keshafukiws mavumbini kwahiyo asije akashangaa anafurushwa kwa maandamano yasiyo na kikomoSasa ndio kumekucha rasmi, muda wowote wananchi uvumilivu utawashinda na watakichafua. Watu wamechoka kuonewa na kunyanyaswa tokea 2015.
Hakuna kitu kitatokea Acha uogaWapuuzi kama wewe endeleeni kuamini ujinga mnaoamini lakini hata ndani ya maccm ukweli wanaujua.
ukihemuka lazima uhemuliweVijana mnatumia lugha za matusi sana humu
Mtaandamana kupitia twitter ya Maria Sarungi?Mama akae akijua aliyeweza kuwaogopesha watz ni yule mnyamilembe peke yake na sasa keshafukiws mavumbini kwahiyo asije akashangaa anafurushwa kwa maandamano yasiyo na kikomo
Watu hawamkubali kivile hasa wale misukule wa màgufool na vilevile jinsi yake ya like plus uzanzibar vinamkosesha support ni basi tu hajui
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Wiki ngumu sana hii kwa mibavichaukihemuka lazima uhemuliwe
Ndio siyo dhalimu kabisa yani!Ahaaa wapi sijawahi kumsifia huyo mama zaidi ya kusema sio dhalimu kama yule ibilisi aliye motoni. Hata ulazimishe huyu mama sio dhalimu kama yule ibilisi fullstop.
Nahisi kuna kundi la vijana wanatumika vibaya, hawajitambui. Hii sio sawa. Unakuta thread nzima imejaa matusi watu wanahama kwenye mada wanaanza kutukanana wao kwa wao kwenye mada hadi inapoteza maana.Yani unakosa hata kuona hoja ziko wapi...hili jukwaa limekuwa kichaka cha matusi
MaviSasa ndio kumekucha rasmi, muda wowote wananchi uvumilivu utawashinda na watakichafua. Watu wamechoka kuonewa na kunyanyaswa tokea 2015.
wampe ya ugaidi wa kimataifa.
Ndiyo maana niko hapa bado nasubiri tuUtasubiri sana