Mama akae akijua aliyeweza kuwaogopesha watz ni yule mnyamilembe peke yake na sasa keshafukiws mavumbini kwahiyo asije akashangaa anafurushwa kwa maandamano yasiyo na kikomoSasa ndio kumekucha rasmi, muda wowote wananchi uvumilivu utawashinda na watakichafua. Watu wamechoka kuonewa na kunyanyaswa tokea 2015.
Watu hawamkubali kivile hasa wale misukule wa màgufool na vilevile jinsi yake ya like plus uzanzibar vinamkosesha support ni basi tu hajui