saidi kindole
JF-Expert Member
- Sep 21, 2012
- 310
- 792
Vijana wa UVCCM wakihakikisha Usalama wa katibu Mkuu wa CCM Taifa Bashiru Ally akiwa ziarani Mkoani Mtwara mapema leo hii. Jee hii ianawezekana kwa Mnyika kusindikizwa hivi?
Awamu hii imepunguza sana akili za wanachama wa CCM, sasa hapa unaona kuna uhusiano na hali halisi?mbona Mbowe analindwa na kikosi cha ugaidi red brigade?
pewa kahawa au cola mkuu, bill iletwe kwangu haraka sanaMyika anapendwa na watu ulinzi ni kwa wale wenye kuchukiwa na Watanzania.
Wazungu waliwekeza kwenye AKILI na sisi tunaendelea kuwekeza kwenye UJINGA...Vijana wa UVCCM wakihakikisha Usalama wa katibu Mkuu wa CCM Taifa Bashiru Ally akiwa ziarani Mkoani Mtwara mapema leo hii. Jee hii ianawezekana kwa Mnyika kusindikizwa hivi?
Huu ni utumwa wa 1880's!Vijana wa UVCCM wakihakikisha Usalama wa katibu Mkuu wa CCM Taifa Bashiru Ally akiwa ziarani Mkoani Mtwara mapema leo hii. Jee hii ianawezekana kwa Mnyika kusindikizwa hivi?
Unasubiri nini kumkamata? Lakini pia nikujurishe tu kuna ata State Terrorism kama ujui ilo basi wewe ni mpuuzimbona Mbowe analindwa na kikosi cha ugaidi red brigade?