Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
kile cha kwenu kinaitwajembona Mbowe analindwa na kikosi cha ugaidi red brigade?
Bila shaka "maktaba maalum" imepata toleo jipya la picha mhimu!Bila polisi ccm ni wepesi kuliko pamba
Sio au mnyika hata sam ruhuza wa nccr?Vijana wa UVCCM wakihakikisha Usalama wa katibu Mkuu wa CCM Taifa Bashiru Ally akiwa ziarani Mkoani Mtwara mapema leo hii. Jee hii ianawezekana kwa Mnyika kusindikizwa hivi?View attachment 1367313
Wanamsindikiza boss waoVijana wa UVCCM wakihakikisha Usalama wa katibu Mkuu wa CCM Taifa Bashiru Ally akiwa ziarani Mkoani Mtwara mapema leo hii. Jee hii ianawezekana kwa Mnyika kusindikizwa hivi?View attachment 1367313
Katiba ipi?Huyo anayelindwa ni katibu mkuu wa chama dola.
Ni kama mapumbavu vile!Vijana wa UVCCM wakihakikisha Usalama wa katibu Mkuu wa CCM Taifa Bashiru Ally akiwa ziarani Mkoani Mtwara mapema leo hii. Jee hii ianawezekana kwa Mnyika kusindikizwa hivi?View attachment 1367313
Taifa la wajinga Hilo ndio maana waona yote hayoVijana wa UVCCM wakihakikisha Usalama wa katibu Mkuu wa CCM Taifa Bashiru Ally akiwa ziarani Mkoani Mtwara mapema leo hii. Jee hii ianawezekana kwa Mnyika kusindikizwa hivi?View attachment 1367313
Ni mpumbavu tu anaweza fanya upumbavu huu.Vijana wa UVCCM wakihakikisha Usalama wa katibu Mkuu wa CCM Taifa Bashiru Ally akiwa ziarani Mkoani Mtwara mapema leo hii. Jee hii ianawezekana kwa Mnyika kusindikizwa hivi?View attachment 1367313
Mkiambiwa polisi mnadharauliwa mnakataaView attachment 1367326
Ujinga wa kiwango cha SGR Chama kimeshachokwa sana hiki ni matumbo ya polisi tu ndio yanayokiweka
They are too insecure. Lack of legitimacyVijana wa UVCCM wakihakikisha Usalama wa katibu Mkuu wa CCM Taifa Bashiru Ally akiwa ziarani Mkoani Mtwara mapema leo hii. Jee hii ianawezekana kwa Mnyika kusindikizwa hivi?View attachment 1367313
mbona Mbowe analindwa na kikosi cha ugaidi red brigade?