LIMBOMAMBOMA
JF-Expert Member
- Oct 3, 2017
- 10,482
- 14,007
Kwani Mnyika ana impact gani kwenye jamii?Vijana wa UVCCM wakihakikisha Usalama wa katibu Mkuu wa CCM Taifa Bashiru Ally akiwa ziarani Mkoani Mtwara mapema leo hii. Jee hii ianawezekana kwa Mnyika kusindikizwa hivi?View attachment 1367313
Myika anapendwa na watu, ulinzi ni kwa wale wenye kuchukiwa na Watanzania.
Mlishajitengenezea mazingira ya kutowaamini polisi,mtawezaje kufanya nao kazi?Chama kinalindwa Na dola, hii Ni hatari sana.nilitamani polis wafanye haya kwa vyama vyote.Huu sio usawa aliopigania mwalimu nyerere.
Bila polisi ccm ni wepesi kuliko pamba
huna akili
ALienda lindi kumuongelea Tundu Lissu. Anadhani watu ni wapumbavu hawajui kuingia kwneye mitandao ya kijamii na kusoma yanayoendelea ili kujua ukweliView attachment 1367326
Ujinga wa kiwango cha SGR Chama kimeshachokwa sana hiki ni matumbo ya polisi tu ndio yanayokiweka
Hakika MkuuMyika anapendwa na watu, ulinzi ni kwa wale wenye kuchukiwa na Watanzania.
Aisee policcmUnasubiri nini kumkamata? Lakini pia nikujurishe tu kuna ata State Terrorism kama ujui ilo basi wewe ni mpuuzi
Umejibu vema. Kumbe bado tuna watanzania wenye akili.Myika anapendwa na watu, ulinzi ni kwa wale wenye kuchukiwa na Watanzania.
Hivi hapo wanamlinda dhidi ya adui yupi?Vijana wa UVCCM wakihakikisha Usalama wa katibu Mkuu wa CCM Taifa Bashiru Ally akiwa ziarani Mkoani Mtwara mapema leo hii. Jee hii ianawezekana kwa Mnyika kusindikizwa hivi?View attachment 1367313
Atapata tatizo gani kwa mfano? Ukitoa mfano mmoja tu wa tatizo linaloweza kumpata ambalo suluhu yake ni hawa wanaohemea juu juu ingependeza.Hivi ungelikuwa ndo RPC halafu jamaa apatie tatizo jimboni mwako; Ungelisema umepungukiwa na nyenzo gani za kumlinda tu? Kwani hao feefeeyuu ni wako hata useme wamekugharimu hela nyingi?? Nadhani swali la kujiuliza ni; Wamevuta mpunga mkuu kiasi gani? Acha watoto wawenzio wachuchumae wakijinyea kwa shibe za baba zaao
Huna akili hata ya kupinga kamasi wewe, Kwahiyo jeshi la polisi ni Mali ya sisiem?mbona Mbowe analindwa na kikosi cha ugaidi red brigade?
Katibu Mkuu wa ccmni kiongozi mwandamizi wa Nchi
Yeye anaismamia serkali
Usimfananishe na waropokaji