BAK
JF-Expert Member
- Feb 11, 2007
- 124,790
- 288,165
Mapungufu ya katiba ya sasa ndiyo chanzo cha yote haya. Kwanza katiba hiyo iliandikwa na maccm tangu kuwe na mfumo wa vyama vingi hakujawa na Katiba mpya. Pili kuna mapungufu mengi sana ikiwemo la jinsi Tume ya uchaguzi inavyopatikana, matokeo ya uchaguzi wa Urais hayawezi kupingwa Mahakamani, vyombo vya dola kuachiwa kushiriki kwenye kupora uchaguzi etc.
Katiba ni KIPAUMBELE nambari one ili kuleta HAKI, UHURU na USAWA kwa wote nchini.
Katiba ni KIPAUMBELE nambari one ili kuleta HAKI, UHURU na USAWA kwa wote nchini.
Sawa kabisa, nakuunga mkono. Lakini hoja yangu ni kwamba, Katiba mpya sio suluhisho la tatizo la kuvunja Katiba ya sasa au uongozi wa kimabavu na ulevi wa madaraka!
Hadi sasa kilichobadilika ni vyama vingi tu, na hatuwezi kusema tatizo kubwa la Katiba iliyopo ni jinsi inavyoshughulika na uwepo wa vyama vingi