Mzee wa kupambania
JF-Expert Member
- Aug 14, 2022
- 21,111
- 53,092
Kwa nini haukutoa taarifa polisi? Wewe ni mwizi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Basi fresh kareport tu polisiMkuu
Kawaida tu mbona?
Shukuru Mungu hivi karibuni kumekuwa na kelele nyingi dhidi ya polisiWalikuja nyumbani nikaambiwa natakiwa kituoni.
Uonevu kukutwa na mali za wizi?Ila sio fea sheria ilibidi zitungwe upya sisi hatujui utaratibu ni uonevu huu
Nimstahi mwizi huyu anayekuja kumtukanisha mamake humu?HAta kumstahi mama mtu mwanamke mwenzio hakuna
Hiyo simu ilikuwa ya Mohamed Ali Kibao, ukajieleze vizuri ulikoipata. Labada uwaambie mamako alikuwa mchepuko wake.Walikuja nyumbani nikaambiwa natakiwa kituoni.
Yaani ukiiona simu barabarani uipite usiiguse!HAKI ZAKO NA WAJIBU WA ASKARI HUO HAPO . NAKUTAKIA KAZI NJEMA YA UOKOTAJI. KUNA SHERIA ZA TCRA ZINAKATAZA UOKOTAJI. SITOKUTUMIA ILA ZIPO . MITANO KWA MAMA SAMIA
Mwaambiye mamako akajieleze alikoipata, sasa unataka fairness i[i tena?Ila sio fea sheria ilibidi zitungwe upya sisi hatujui utaratibu ni uonevu huu
Mtu mzima unaokota simu ili iweje? Nenda kanyooshwe na uombe hiyo simu isiwe imepotea kwenye tukio la uhalifu.Msaada wa kisheria simu ya kuokota nakamatwa na polisi. Mama yangu aliokota simu smat phone akanipa sababu yeye Hawezi tumia nikaweka laini hapa nimepagawa,
Hii imekaaje mbaya zaidi aliepoteza simu anadai kwao ilibiwa simu, TV nch 32, jiko la ges plate mbili.
Je, machomokaje katika hili tatizo?
Mkiona kimya mjue nawasiliana na polisi maana wanasumbua balaa
hHakuna dshana hapo, kasema mwenyewe.Unamuhukumu mama wa watu bureee,. Nanukuu Toka kwenye kitabu,. "Jiepusheni sana na dhanambaya, hakika ya dhana mbaya ni dhambi.......Hadi mwisho wa aya
Unamuhukumu mama wa watu bureee,. Nanukuu Toka kwenye kitabu,. "Jiepusheni sana na dhana mbaya, hakika ya dhana mbaya ni dhambi....... Hadi mwisho wa ayaHuyo mamako alikudanganya. Alienda kudanga akahongwa hiyo simu na mwizi au jambazi, muulize vizuri.
Babako unamjuwa? Mnaishi nae?
Anazipotezea mazima tu,system inadetect namba na sio jinaAbadili laini wakati zimesajiliwa kwa kutumia kitambulisho?
zima simu itupilie chini ya uvungu ata miaka alaf tupa line
Sa atafanyeje lo???
Zima usiwe hewañi, alafu nenda kaombe loss report
[/QUOTE
Wewe kweli ni lodilofa