Polisi wamenitrack niliokota simu, kesho natakiwa kituoni

Polisi wamenitrack niliokota simu, kesho natakiwa kituoni

Huyo mamako alikudanganya. Alienda kudanga akahongwa hiyo simu na mwizi au jambazi, muulize vizuri.

Babako unamjuwa? Mnaishi nae?
Una mental illness inakupelekesha. Comment hii inaongea mengi kukuhusu.
 
Kwahiyo police ndio amekwambia hiyo simu imepotea na tv???
 
Kama ni Mimi nalitupia mikoa ya mbali kuwachanganya akili na ninahama nilipo kuwa naishi ,,msala huo.
 
Msaada wa kisheria simu ya kuokota nakamatwa na polisi. Mama yangu aliokota simu smat phone akanipa sababu yeye Hawezi tumia nikaweka laini hapa nimepagawa,

Hii imekaaje mbaya zaidi aliepoteza simu anadai kwao ilibiwa simu, TV nch 32, jiko la ges plate mbili.

Je, machomokaje katika hili tatizo?
Mkiona kimya mjue nawasiliana na polisi maana wanasumbua balaa
Waambie cha kuokota sii cha kuiba
 
Msaada wa kisheria simu ya kuokota nakamatwa na polisi. Mama yangu aliokota simu smat phone akanipa sababu yeye Hawezi tumia nikaweka laini hapa nimepagawa,

Hii imekaaje mbaya zaidi aliepoteza simu anadai kwao ilibiwa simu, TV nch 32, jiko la ges plate mbili.

Je, machomokaje katika hili tatizo?
Mkiona kimya mjue nawasiliana na polisi maana wanasumbua balaa
Kisheria wewe ni mwinzi,,
 
Attention seeker soon you will be arrested dey to ur imagination
 
Mkuu hio kesi unayo lazima utoboke.., tena hapo sana sana wanataka rushwa wanaweza kukutisha hata aliyeibiwa alichomwa kisu...; kwani gharama ya hio TV na vingine wanavyosema wameibiwa ni bei gani ?

In short ushaingia kwenye kumi na nane za watu..., huwezi kusema umeokota kitu cha thamani kama hicho wakiruhusu haya mambo kesho watu wataanza kusema wanaokota magari...
 
Yan hapa duniani
Ukizima hiyo simu na kuitupa wana track laini yako, ukivunja laini na kuitupa wana track namba ulizokua unawasiliana nazo akikamatwa mama yako ataonyesha tu ulipo yani wana wewe hadi useme.

Ukute bahati mbaya alieibiwa aliuwawa wakati anaibiwa hapo ndo unaenda kuunganishwa na kesi ya mauji hata kama utaachiwa utakua umekaa mahabusu siyo chini ya miaka miwili au zaidi maana kesi haina dhamana
Yaani hapa duniani Pa moto sana..
 
Ndugu unaenda kuokota Virungu Online.
Usiibe kiboya town.
 
Msaada wa kisheria simu ya kuokota nakamatwa na polisi. Mama yangu aliokota simu smat phone akanipa sababu yeye Hawezi tumia nikaweka laini hapa nimepagawa,

Hii imekaaje mbaya zaidi aliepoteza simu anadai kwao ilibiwa simu, TV nch 32, jiko la ges plate mbili.

Je, machomokaje katika hili tatizo?
Mkiona kimya mjue nawasiliana na polisi maana wanasumbua balaa
Wewe ndiye kibaka mwenyewe, umeitwa Polisi, bado haujaenda lakini tayari unajua vitu vyote vilivyoibiwa kwa huyo 'aliyepoteza' hiyo simu?

Kama mimi ningekuwa wakili ningejitokeza kukusaidia, halafu tukifika huko nafanya kama huyu wakili wa wale wabakaji👇👇

 
Msaada wa kisheria simu ya kuokota nakamatwa na polisi. Mama yangu aliokota simu smat phone akanipa sababu yeye Hawezi tumia nikaweka laini hapa nimepagawa,

Hii imekaaje mbaya zaidi aliepoteza simu anadai kwao ilibiwa simu, TV nch 32, jiko la ges plate mbili.

Je, machomokaje katika hili tatizo?
Mkiona kimya mjue nawasiliana na polisi maana wanasumbua balaa
Duu apo umeyakanyaga saivi mambo ya kuokota simu achaneni nayo...apo Jiandae kutoa tu hela nyingi
 
Wewe ndiye kibaka mwenyewe, umeitwa Polisi, bado haujaenda lakini tayari unajua vitu vyote vilivyoibiwa kwa huyo 'aliyepoteza' hiyo simu?

Kama mimi ningekuwa wakili ningejitokeza kukusaidia, halafu tukifika huko nafanya kama huyu wakili wa wale wabakaji👇👇

View attachment 3116216
🤣🤣🤣
 
Back
Top Bottom