Powder
JF-Expert Member
- Jan 6, 2016
- 4,977
- 6,635
Huyo ni Police.Loss repot ya nini? We nae usichichanganye
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huyo ni Police.Loss repot ya nini? We nae usichichanganye
Una mental illness inakupelekesha. Comment hii inaongea mengi kukuhusu.Huyo mamako alikudanganya. Alienda kudanga akahongwa hiyo simu na mwizi au jambazi, muulize vizuri.
Babako unamjuwa? Mnaishi nae?
Waambie cha kuokota sii cha kuibaMsaada wa kisheria simu ya kuokota nakamatwa na polisi. Mama yangu aliokota simu smat phone akanipa sababu yeye Hawezi tumia nikaweka laini hapa nimepagawa,
Hii imekaaje mbaya zaidi aliepoteza simu anadai kwao ilibiwa simu, TV nch 32, jiko la ges plate mbili.
Je, machomokaje katika hili tatizo?
Mkiona kimya mjue nawasiliana na polisi maana wanasumbua balaa
Kisheria wewe ni mwinzi,,Msaada wa kisheria simu ya kuokota nakamatwa na polisi. Mama yangu aliokota simu smat phone akanipa sababu yeye Hawezi tumia nikaweka laini hapa nimepagawa,
Hii imekaaje mbaya zaidi aliepoteza simu anadai kwao ilibiwa simu, TV nch 32, jiko la ges plate mbili.
Je, machomokaje katika hili tatizo?
Mkiona kimya mjue nawasiliana na polisi maana wanasumbua balaa
Kuna mishangazi ya ovyo ndio weweHuyo mamako alikudanganya. Alienda kudanga akahongwa hiyo simu na mwizi au jambazi, muulize vizuri.
Babako unamjuwa? Mnaishi nae?
Yaani hapa duniani Pa moto sana..Ukizima hiyo simu na kuitupa wana track laini yako, ukivunja laini na kuitupa wana track namba ulizokua unawasiliana nazo akikamatwa mama yako ataonyesha tu ulipo yani wana wewe hadi useme.
Ukute bahati mbaya alieibiwa aliuwawa wakati anaibiwa hapo ndo unaenda kuunganishwa na kesi ya mauji hata kama utaachiwa utakua umekaa mahabusu siyo chini ya miaka miwili au zaidi maana kesi haina dhamana
Sijui, ila andika tu maumivu.Vip mwana sheria Hawezi nisevu?
Wewe ndiye kibaka mwenyewe, umeitwa Polisi, bado haujaenda lakini tayari unajua vitu vyote vilivyoibiwa kwa huyo 'aliyepoteza' hiyo simu?Msaada wa kisheria simu ya kuokota nakamatwa na polisi. Mama yangu aliokota simu smat phone akanipa sababu yeye Hawezi tumia nikaweka laini hapa nimepagawa,
Hii imekaaje mbaya zaidi aliepoteza simu anadai kwao ilibiwa simu, TV nch 32, jiko la ges plate mbili.
Je, machomokaje katika hili tatizo?
Mkiona kimya mjue nawasiliana na polisi maana wanasumbua balaa
Watakuponda ila aulize kweli
Huyu mama anatia shaka. Aende naye kituo cha polisi,waaanze naye,dakika 10 nyingi,atatema nyongo yote.Ukweli ndiyo ustaarabu.
Mama gani mwenye heshima atamletea simu mwanae amwambie "chukuwa hii zawadi yako mwanangu, nimeiokota njiani!
Hivi huwa mnafikiri sawa nyie kondoo?
Duu apo umeyakanyaga saivi mambo ya kuokota simu achaneni nayo...apo Jiandae kutoa tu hela nyingiMsaada wa kisheria simu ya kuokota nakamatwa na polisi. Mama yangu aliokota simu smat phone akanipa sababu yeye Hawezi tumia nikaweka laini hapa nimepagawa,
Hii imekaaje mbaya zaidi aliepoteza simu anadai kwao ilibiwa simu, TV nch 32, jiko la ges plate mbili.
Je, machomokaje katika hili tatizo?
Mkiona kimya mjue nawasiliana na polisi maana wanasumbua balaa
Mwenye kasema simu imeibiwa yeye anasema kaokota, angepeleka polisi au kumwambia mwenyekiti wa mtaa, huyu ni mwizi tuuIsalumimishe police kituo kingine back date tarehe!Cha kuokota si Cha kuiba huna kesi ingawa utasumbuliwa.
🤣🤣🤣Wewe ndiye kibaka mwenyewe, umeitwa Polisi, bado haujaenda lakini tayari unajua vitu vyote vilivyoibiwa kwa huyo 'aliyepoteza' hiyo simu?
Kama mimi ningekuwa wakili ningejitokeza kukusaidia, halafu tukifika huko nafanya kama huyu wakili wa wale wabakaji👇👇
View attachment 3116216