Mama Edina
JF-Expert Member
- Dec 18, 2022
- 850
- 2,019
Nakumbuka kuna mtu alikopa mtandaoni (online app za mikopo) akaachana na line aliyokopa mwaka sasa anadunda mtaani. Sijasema utupe line yakoMsaada wa kisheria simu ya kuokota nakamatwa na polisi. Mama yangu aliokota simu smat phone akanipa sababu yeye Hawezi tumia nikaweka laini hapa nimepagawa,
Hii imekaaje mbaya zaidi aliepoteza simu anadai kwao ilibiwa simu, TV nch 32, jiko la ges plate mbili.
Je, nachomokaje katika hili tatizo?
Mkiona kimya mjue nawasiliana na polisi maana wanasumbua balaa.