Down To Earth
JF-Expert Member
- Jul 8, 2011
- 21,940
- 16,643
ni aina gani nikupe laki sasa hivi?Aliokota maza
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
ni aina gani nikupe laki sasa hivi?Aliokota maza
Mwaka 2000 nilienda Mahakamani Kisutu kumkatia mtu dhamana. Wakati tunasubiri kuingia nikaona niingie ktk session moja ya open court. Kesi niliyokuta pale ilikuwa siku ya hukumu. Jamaa alikuwa ameshtakiwa kukutwa na mali ya wizi, na kwenye hukumu Hakimu alise.a kununua mali ya wizi pia ni ushiriki wa tendo la wizi. Mvua ikashushwa kwake miaka 3 jela baada ya kupunguzwa kutoka miaka 5.Siku yakikukuta Usisahau hili
Matatizo Huja tu kwanjia Nyingi
Duh 2000.Mwaka 2000 nilienda Mahakamani Kisutu kumkatia mtu dhamana. Wakati tunasubiri kuingia nikaona niingie ktk session moja ya open court. Kesi niliyokuta pale ilikuwa siku ya hukumu. Jamaa alikuwa ameshtakiwa kukutwa na mali ya wizi, na kwenye hukumu Hakimu alise.a kununua mali ya wizi pia ni ushiriki wa tendo la wizi. Mvua ikashushwa kwake miaka 3 jela baada ya kupunguzwa kutoka miaka 5.
Tokea siku hiyo, huniuzii mali mkononi nikanunua.....
Mnajibizana na baba zenu au babu zenu humu.....😄Duh 2000.
Heshima yako mkuu
Zima simu potea. Waachane na wewe.
Tupa hiyo simu aokote boyaaaMsaada wa kisheria simu ya kuokota nakamatwa na polisi. Mama yangu aliokota simu smat phone akanipa sababu yeye Hawezi tumia nikaweka laini hapa nimepagawa,
Hii imekaaje mbaya zaidi aliepoteza simu anadai kwao ilibiwa simu, TV nch 32, jiko la ges plate mbili.
Je, machomokaje katika hili tatizo?
Mkiona kimya mjue nawasiliana na polisi maana wanasumbua balaa
Hata hao polisi kuwaachia mali ya kuota ni kosa,maana nao wataikota tuu.Hapo kwa kutumia DOCTRINE OF RECENT POSSESSION wewe ni mwizi na ndiye uliyeiba simu hiyo
Mara tuu, uokotapa kitu chochote ambacho sii Mali yako Moja kwa Moja nenda Kituo chochote Cha polisi kilichopo karibu yako na utaandika maelezo jinsi ulivyokiokota. Kitafunguliwa Taarifa kwenye kitabu kiitwacho LOSS AND FOUND PROPERTY REGISTER na utapewa kumbukumbu ya Taarifa hiyo kama unapopewa RB ya kesi
Pale ambapo mwenye Mali atapatikana na kutoa vielelezo vyote vya umiliki atakabidhiwa Mali yake na wewe utajulishwa
Pale ambapo kwa kipindi kirefu mwenye Mali hajaonekana ,itaandikiwa inventory na baada ya kutoka kwenye gazeti la serikali itauzwa kwa mnada.
Epuka msemo wa uongo wa kiswahili usemao CHAKUOKOTA SII CHA KUIBA.Hapa wahenga waliodanganywa umma na msemo huu upo kinyume na sheria na unahamasishi wizi utaishia jela, mbaya zaidi ukute simu hiyo kabla ya kuibiwa lilifanyika kosa la jinsi kubwa
Rudisha na TV ya watu.Msaada wa kisheria simu ya kuokota nakamatwa na polisi. Mama yangu aliokota simu smat phone akanipa sababu yeye Hawezi tumia nikaweka laini hapa nimepagawa,
Hii imekaaje mbaya zaidi aliepoteza simu anadai kwao ilibiwa simu, TV nch 32, jiko la ges plate mbili.
Je, machomokaje katika hili tatizo?
Mkiona kimya mjue nawasiliana na polisi maana wanasumbua balaa
Msaada wa kisheria simu ya kuokota nakamatwa na polisi. Mama yangu aliokota simu smat phone akanipa sababu yeye Hawezi tumia nikaweka laini hapa nimepagawa,
Hii imekaaje mbaya zaidi aliepoteza simu anadai kwao ilibiwa simu, TV nch 32, jiko la ges plate mbili.
Je, machomokaje katika hili tatizo?
Mkiona kimya mjue nawasiliana na polisi maana wanasumbua balaa
Siku hizi zinauzwa kama spea kwa mafundi simuMim mwenyewe nasubiria mkeka utiki Kuna madogo mwezi wa 5 nilipishana nao nikiwa na pikipiki kufika mbele aangalia simu siioni kugeuza kuja wauliza wakana Mimi nikaona isiwe kesi nikasepa kufungua kesi itafutwe na waliizima hawajaiwasha mpk Leo ila najua ipo day mtu atajichanganya
Hama nyumbaWalikuja nyumbani nikaambiwa natakiwa kituoni.
Basi mwambie maza akaripoti polisi awaambie ni kwa nini aliokota kisha akaanza kuimiliki wakati sio yakeAliokota maza
😂😂😂Au sio....... Halafu akakuletea wewe, mwanae kipenzi. 😹
Msaada wa kisheria simu ya kuokota nakamatwa na polisi. Mama yangu aliokota simu smat phone akanipa sababu yeye Hawezi tumia nikaweka laini hapa nimepagawa,
Hii imekaaje mbaya zaidi aliepoteza simu anadai kwao ilibiwa simu, TV nch 32, jiko la ges plate mbili.
Je, nachomokaje katika hili tatizo?
Mkiona kimya mjue nawasiliana na polisi maana wanasumbua balaa.
Usajili wa laini yake,ushajulikana, popote aendapo atakamatwa heri ajisalimishe anaweza eleza ukweli wote kwenye hukumu akafikiriwa,akikimbia ataonekana ye ndo mwizi,atalipa vyote na kifungo juuZima simu potea. Waachane na wewe.
PoleMsaada wa kisheria simu ya kuokota nakamatwa na polisi. Mama yangu aliokota simu smat phone akanipa sababu yeye Hawezi tumia nikaweka laini hapa nimepagawa,
Hii imekaaje mbaya zaidi aliepoteza simu anadai kwao ilibiwa simu, TV nch 32, jiko la ges plate mbili.
Je, nachomokaje katika hili tatizo?
Mkiona kimya mjue nawasiliana na polisi maana wanasumbua balaa.