MwananchiOG
JF-Expert Member
- Apr 4, 2023
- 1,970
- 4,037
Haitosaidia, Maana kitendo cha yeye kuchomeka tu laini ya simu, taarifa zake zote, ikiweno majina yote, namba ya NIDA, mahali alipo n.k hata akikimbia ni kazi ndogo kwa polisi kumtrace na kumkamatazima simu itupilie chini ya uvungu ata miaka alaf tupa line